Banner

Banner

FOLLOW US FACEBOOK

propertyfinder.co.tz

Thursday, July 12, 2012

Hizi hapa picha za Misukosuko aliyoipata DIAMOND wakati akielekea Zanzibar kwenye tamasha la ZIFF...!

Diamond akiingia uwanja wa ndege tayari kuelekea Zanzibar kwenye tamasha la ZIFF.
Hapa Diamond akiwa na wasafi wake wakifanya last chek'in kwa ajili ya kuingia kwenye ndege waanze safari.
Katika maisha yake yote leo ndo ilikua mara yake ya kwanza kuvaa pens mbele ya hadhara na tena imenibidi tu kwasababu ana kidonda kwenye mguu...basi alikua kila dakika anajishtukia....
Dah! yani ilikua hadi ndege ishaanza kutaka kuondoka kabisa ila tu mwenyezI Mungu alikua nawasafi hawa maana vinginevyo ingebidi waelekee kwenye meli. Diamond anaushukuru uongozi mzima wa Precission Air kwa kuweza kuwasaidia la sivyo ingekua kama ya Arusha..!
Hapa wakiisubiria igeuke maana ilisha anza mwendo..
Hapa nikiongea mawili,matatu na mmoja wa kampuni hiyo
Hapa Diomond haamini kama ndege inaweza ikarudi kuwachukua, maana ilishaanza mwendo.
Hapa Diaomond akijaribu kumuuliza mfanyakazi wa Precission Air kama kweli ndege itageuka au ndo inaenda kupaa ili waelekee kwenye meli..
Jamaa ana stress za kuachwa na ndege lakini anajiliwaza kidogo....
Hapa gari ikaja ya kuwasogeza kwenye pipa (ndege) ili waweze kuwahi.
Wasafiiii haooooo kwenye pipa tayari kwa kuelekea Zanzibar ........
Hapa Diamond haamini kama kweli ndio anapanda pipa kuelekea zanzibar... maana tayari alisha kata tamaa...
Hapa ni wakati wakishuka kwenye ndege tayari wapo Zanzibar.....
Hapa wakiwa airport zanibar wakisuburi mabegi yao...
Gari iliyokuja kuwachukua uwanja wa ndege kuwapeleka hotelin.
Diamond akiwa kiti cha mbele wakielekea Hotelin
Hotel sasa,.. Diamond akiwa na mmoja wa wenyeji wetu toka ZIFF aliowapokea
Hapa wakipeana mawili matatu toka Dar na Zanzibar..
Hapa Diamond akijiandikisha kwenye kitabu cha wageni hotelin.
Diamond akipooza koo na juice baada ya misukosuko ya safari toka Dar mpaka Zanzibar..

No comments:

Post a Comment