Banner

Banner

FOLLOW US FACEBOOK

propertyfinder.co.tz

Tuesday, September 11, 2012

Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa aongoza Mazishi ya Wahanga wa mgodi wa Nandagala...!

Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa Mh.Agness Hokororo(kushoto) akiwa karibu na mama mzazi wa Nyang'ana Mkelecha  wakati wa ibada ya mazishi katika Makaburi ya mji Ruangwa.
Nyang'ana ni ni mmoja kati ya wachimbaji walifukiwa na kifusi na kupoteza maisha yao  katika machimbo ya Nandagala Ruangwa Lindi. 

Mh.Agness Hokororo akikabidhi  rambirambi ya Tshs 100,000 kwa wafiwa

Marehemu Nyang'ana Mkelecha  ni mzaliwa wa Bunda - Musoma
Alizaliwa mwaka 1968 katika kijiji cha Isenye Bunda na kupata elimu ya msingi kijijini hapo, ameacha wake wawili na watoto watatu 

Wachimbaji  na Wananchi wakichangisha pesa kwa ajili ya  majeruhi mmoja aliyenusurika kifo (Oswald) aliyelazwa Ndanda Hospital baada ya kuvunjika miguu.

No comments:

Post a Comment