Banner

Banner

FOLLOW US FACEBOOK

propertyfinder.co.tz

Sunday, October 28, 2012

HIZI HAPA PICHA ZA UVCCM WAKITWANGANA MAKONDE...!


“ Habari tulizozipata hivi punde ni kwamba wanachama wa Umoja wa Vijana wa CCM, wamechapana makonde wakati wa mapokezi ya Mwenyekiti mpya wa umoja huo.
Tafrani hiyo imetokea leo katika Makao Makuu ya UVCCM, ambapo moja ya makundi ambayo hayakubaliani na ushindi wa Mwenyekiti huyo mpya walikwenda na mabango yanayompinga.

Ndipo kasheshe ikaanza kwa kupigana. Pia indaiwa kuwa mapokezi hao yalidorora kwa vile asilimia kubwa ya viongozi waliomaliza muda hawakujitokeza kumpokea kiongozi huyo mpya. ”




Blog hii itaendelea kutafuta canz cha mkasa huo na kuendelea kuwajuza.

Chanzo: Gumzo la jiji 

No comments:

Post a Comment