Banner

Banner

FOLLOW US FACEBOOK

propertyfinder.co.tz

Thursday, November 29, 2012

PICHA ZA DIAMOND AKIWA KATIKA KIPINDI CHA THE MBONI SHOW KILICHORUSHWA NA CHANEL YA EATV LEO SAA TATU YA USIKU...!


Hapa Diamond akiwa amefika eneo la tukio....akiwa na Mose Iyobo pamoja na Romy J
kwaajili ya kurecord kipindi cha The Mboni Show




Diamond akisalimiana na George Tyson Director wa Kipindi cha The Mboni Show


Kila wakati Diamond huanza na kumuomba Mungu kabla hajafanya jambo lolote kwa kua huwa anaamini pasipo kumuomba Mwenyzi Mungu kabla hawezi kufanya vizuri wala kutimiza malengo yake.


Hapa Mboni Masimba akipitia baadhi ya mambo kabla ya kuanza kipindi...


Diamond na Mboni wakiwa kwenye kipindi...




Mboni akilainisha koo kidogo

Diamond naye akipata kinywaji ili kulipooza koo..



Picha ya Pamoja Diamond, Mboni na Rj


Baada ya show kumalizika hali ilikuwa hivi....















No comments:

Post a Comment