Banner

Banner

FOLLOW US FACEBOOK

propertyfinder.co.tz

Wednesday, November 21, 2012

WAASI WATEKA UWANJA WA NDEGE GOMA, CONGO, MJI WARINDIMA MILIO YA RISASI...!


Msemaji wa kundi la M23, Kanali Vianney Kazarama ameliambia shirika la habari la AP kwa njia ya simu kwamba sasa waasi wanapambana kuudhibiti mji wote wa Goma, baada ya kufanikiwa kuudhibiti uwanja wa ndege na kwamba sasa wako ndani ya mji wa Goma.
Pia akizungumza leo, Mbunge wa jimbo la Kivu Kaskazini, Mayombo Omary Bin Fikira amethibitisha kwamba waasi wameutwaa uwanja huo wa ndege. Mbunge huyo anasema kwa sasa hali ni ya kutatanisha katika mji wa Goma na milio ya risasi imekuwa ikisikika.

No comments:

Post a Comment