Banner

Banner

FOLLOW US FACEBOOK

propertyfinder.co.tz

Monday, March 18, 2013

BREAKING NEWS: Askari wa usalama barabarani agongwa na gari!


Askari wa usalama barabarani katika mataa ya kuongezea magari yaliyoko eneo la Bamaga Dar es Salaam amegongwa na gari na inadhaniwa amekufa papo hapo.

 Wasamaria Wema wakifuniaka mwili wa Askari wa Usalama barabarani baada ya kugongwa na gari.

No comments:

Post a Comment