Banner

Banner

FOLLOW US FACEBOOK

propertyfinder.co.tz

Tuesday, May 28, 2013

BREAKING NEWZZZ..! MSANII WA MUZIKI WA BONGO ALBERT MANGWEA AFARIKI DUNIA....!


HABARI ambazo hazijadhibitishwa zimetufikia  hivi punde ni  kwamba  msanii wa muziki wa bongo flavor  Albert Mangwea  amefariki dunia  akiwa  Afrika  kusini, na inasemakana Albert Mangwea alikua amelazwa katika hospital ya St. Hellen.
 
Endelea kutembelea hapa hapa kwa habari kamili kuhusiana na ukweli wa habari hii

No comments:

Post a Comment