MAJINA YA VIJANA KIDATO CHA SITA 2013 MUJIBU WA SHERIA AWAMU YA PILI NA VIKOSI WALIVYOPANGIWA
Baada ya matokeo ya kidato cha sita kutoka, serikali imeshapanga majina
ya wanafunzi na vituo watakavyokwenda kwa ajili ya jeshi JKT. Tembelea
link hapa chini kwenda kwenye tovuti rasmi ya JKT kuona majina ya
wanafunzi na vituo walivyopangiwa.
Siku njema.
http://www.jkt.go.tz/jkt-mujibu.html
No comments:
Post a Comment