Banner

Banner

FOLLOW US FACEBOOK

propertyfinder.co.tz

Tuesday, June 4, 2013

UPDATES MSIBA WA MANGWEA: MWILI UMEWASILI UWANJA WA NDEGE MWL. NYERERE

 




Mwili wa marehem Ngwea, tayari ushafika uwanja wa ndege Dar na tayari ndugu zake wameshauthibitisha kama kweli ni mwili wa Ngwea...








Pichani ni baadhi ya Watanzania wakiusubiria mwili wa marehemu Albert mangwair kuwasili uwanja wa kimataifa wa Mwl. Julius Nyerere.


Baadhi ya mashabiki na wapenzi wa nyimbo za marehemu Albert Mangwair wakilia kwa uchungu Airport jijini Dar es salaam baada ya mwili wa kipenzi cha watu kuwasili


Mmoja wa marafiki na msanii Mangwair Banana Zorro akihojiwa na mwandishi wa habari wakati wakiusubiria mwili wa marehemu huyo


No comments:

Post a Comment