Banner

Banner

FOLLOW US FACEBOOK

propertyfinder.co.tz

Thursday, July 11, 2013

HABARI ZILIZOTUFIKIA: Mama mzazi wa PROF JAY amefariki dunia usiku..!


Hali ilivyo asubuhi hii hapa nyumbani kwa Prof Jay ambapo ndipo ulipo msiba wa mama yetu.. kwa wanaotaka kuja msiba upo Mbezi mwisho baada ya stendi mpya ya mabasi basi mbele kidogo mkono wako wa kushoto utaingia utaona nyumba kumba ipo kwa chini na magari mengi basi ndio hapo hapo. Kwa wanaokuja na daladala baada yakupita hiyo stendi mpya utamwambia konda akushushe kwa Prof Jay maana ndio kituo hicho. RIP MAMA MAJANJALA

No comments:

Post a Comment