Banner

Banner

FOLLOW US FACEBOOK

propertyfinder.co.tz

Saturday, February 20, 2016

MWANAFUNZI ALIYEONGOZA KITAIFA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE MWAKA 2015

Huyu ndiye mwanafunzi aliyeshika nafasi ya kwanza  Kitaifa katika mtihani wa kidato cha nne  toka  shule  ya  Canossa Girls. Anaitwa Butogwa Charles Shija, akiwa mwenye furaha, nyumbani kwa wazazi wake Kipunguni Jijini la Dar es Salaam. 
 
Huyu anaitwa Congcong Wang, ameshika nafasi ya pili kitaifa. Amemaliza kidato cha nne Feza Girls. Ni  mtanzania mwenye asili ya China.

No comments:

Post a Comment