Banner

Banner

FOLLOW US FACEBOOK

propertyfinder.co.tz

Saturday, June 30, 2012

KWA WAKAZI WA ARUSHA NA VITONGOJI VYAKE MMESIKIA HII? FUATILIA MAANA SI YA KUKOSA HII...!

Mahali ni pale pale Club AQ,njoo uone vijana waliofika fainali wakiwania nafasi ya kurekodiwa audio na video huku ukipata burudani safi toka kwa wazee wa kulalisha Jambo Squad,ni kuanzia saa 4 usiku,jumamosi hii kwa kiingilio cha Tsh5000 tu,,,
Rap Race imedhaminiwa na Grandmaster Productions,Sosh Graphix,Triple A fm,Radio 5,Sibuka fm,Tv Sibuka,Club AQ na Helping Hands

No comments:

Post a Comment