Banner

Banner

FOLLOW US FACEBOOK

propertyfinder.co.tz

Tuesday, June 26, 2012

NDOA YA KOLO TOURE, YAWA GUMZO DUNIA NZIMA, FALL IPUPA NDANI, CAKE KAMA MLIMA KILIMANJARO!!

Hatimaye mmoja wa  wachezaji wa soka wanaolipwa pesa nyingi zaidi kutoka Afrika, Kolo Toure wa Manchester City ameisaliti rasmi kambi ya makapela.
Defender huyo raia wa Ivory Coast amemuona mpenzi wake wa muda mrefu  Chimene Akassou, wiki iliyopita June 14 huko Abidjan.
Kolo na  Chimene wameishi kwa zaidi ya mwaka mmoja pamoja na wana watoto wawilim Sania wa kike na Yiassin wa kiume.
Ndoa ya imefungwa wkenye msikiti katika mji mkuu wan chi hiyo, Abidjan.
Kaka yake Yaya Toure wa Manchester  City naye alikuwepo kumpa shavu ndugu yake.


You may kiss the bride
Walipendeza
Bonge la harusi
Walishow love kwa raia
Mlima wa keki
Smile
Fally Ipupa alikuwepo pia
Ulinzi wa kutosha
Machozi ya furaha
Bado haamini kama siku imefika
Yaya Toure

No comments:

Post a Comment