Baadhi
ya Maiti za watoto zilizopatikana katika Ajali ya Meli ya Skagit
iliozama zikiwa katika Eneo la Maisara kwa ajili ya kutambuliwa na
Nduguzao.Hadi mchana huu Maiti zilizopatikana ni 39 kwa mujibu wa
Kamanda wa Polisi Zanzibar na bado waokoaji wanaendelea na zoezi hilo
katika eneo la Tukio.
No comments:
Post a Comment