Agosti 13: Leo ni siku ya kuzaliwa mmoja wa magwiji wa Hip Hop nchini ambaye mistari yake ni chuo tosha, toka Huyu na Yule hadi Fid-Q dot com mpaka akadondosha Propaganda na majuzi katoka na Sihitaji Marafiki. Bado mashairi yake yanaendelea kuwa bora siku hadi siku. Sisi Tunamtakia Fareed Kubanda "Fid-Q" Heri katika siku yake ya kuzaliwa. Unaweza pia kumtakia Ngosha Happy Birthday kupitia hapa......!
Banner
FOLLOW US FACEBOOK
propertyfinder.co.tz
Monday, August 13, 2012
Agosti 13 Leo Na FID Q
Agosti 13: Leo ni siku ya kuzaliwa mmoja wa magwiji wa Hip Hop nchini ambaye mistari yake ni chuo tosha, toka Huyu na Yule hadi Fid-Q dot com mpaka akadondosha Propaganda na majuzi katoka na Sihitaji Marafiki. Bado mashairi yake yanaendelea kuwa bora siku hadi siku. Sisi Tunamtakia Fareed Kubanda "Fid-Q" Heri katika siku yake ya kuzaliwa. Unaweza pia kumtakia Ngosha Happy Birthday kupitia hapa......!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment