Banner

Banner

FOLLOW US FACEBOOK

propertyfinder.co.tz

Wednesday, September 5, 2012

MAZISHI YA MWANDISHI WA HABARI ALIYEUWAWA KWA BOMU KWENYE FURUGU KATI YA POLISI NA WAFUASI WA CHADEMA...!

David Mwangosi enzi za Uhai wake

Waandishi wa habari wakimsindikiza mwenzao kuelekea kwenye nyumba yake ya milele
Mwili ukishishwa Kaburini

Jeneza la Mwandosi likiwa limeshushwa kaburini


Jeneza likiwa ndani ya kaburi tayari kwa Mazishi


Haikuwa rahisi kwa mjane na Watoto kusema kwa heri


Viongozi wa siasa

Mwenyekiti wa Mbeya Press Club akiweka shada la Maua

Mwandishi Mkuu wa Mbeya  yetu, Ndugu Joseph Mwaisango akiwa anatoa heshima zake za Mwisho katiaka Kaburi
Rais wa UTPC akiweka shada la Maua

Tulimpenda sana ila Mungu alimpenda zaidi

No comments:

Post a Comment