
Redds Miss Lake
zone 2012/13 Eugene Fabian (katikati) akiwa pamoja na , mshindi wa Tatu
Happiness Rweyemamu na Kulia kwake ni mshindi wa pili Happiness Daniel warembo
hawa wataingia kambi ya REDDS Miss Tanzania 2012.
Redds Miss
kanda ya Kaskazini Warida Frenk katikati akiwa na washindi wenzake Anande
Raziel kulia na lucy stefano kushoto mara baada ya kutawazwa kuwa washindi wa
Redds Miss Kanda ya kaskazini,Washindi hao wanatarajiwa kujiunga kwenye kambi
ya Redds Miss Tanzania hapo baadae ili kujiandaa na shindano la Taifa la Redds
Miss Tanzania.
Redd’s Miss Kanda ya Mashariki 2012,
Rose Lucas katikati akipunga mkono kwa furaha akiwa na mashindi wa pili Irine
Veda (kulia) na Mshindi wa tatu Joyce Baluhi mara baada ya warembo hao
kutangazwa kuwa washindi wa shindano hilo lililofanyika mjini Morogoro usiku wa
Septemba Septemba 1, mwaka huu. Warembo hawa wote watashiriki shindano la
Redd’s Miss Tanzania 2012 baadae mwaka huu.
Mshindi wa shindano la Redds Miss
Kinondoni Brigit Alfred, akiwapungia mkono mashabiki walioshuhudia shindano
hilo jijini Dar es Salaam jana, kulia ni mshindi wa pili Diana George Hussein
na mshindi watatu Irene David. Brigit pia anashikilia taji la Redds Miss Sinza
2012 huku Irine akishikilia taji la Miss Ubungo 2012.
Malkia wa Redd's
Miss Tameke 2012, Edda Sylvester (katikati), akiwa na mshindi wa pili Flavian
Maeda (kushoto), pamoja na Catherine Masumbigana aliyeshika nafasi ya tatu
katika kilele cha mashindano hayo, Ukumbi wa PTA Sabasaba, Dar es Salaam usiku
wa kuamkia leo.
Naomi Jones, Caren Elias na Venance
Edward
Redds Miss Kanda
ya Kati, Belinda Mbogo (katikati) akiwa na mshindi wa pili Lightness Michael
(kushoto) na mrembo aliyetwaa nafasi ya tatu Elizabeth Diamond baada ya
kumalizika kwa shindano hilo mjini Dodoma hivi karibuni. warembo hawa wote
wameingia kambi ya Miss Tanzania 2012.
Redds Miss Ilala 2012,
Noela Michael akiwa na mshindi wa pili Magdalena Munisi (kulia) na mshindi wa
tatu Mary Chizi (kushoto) mara baada ya kutangazwa kuwa mshindi wa shindano la
Redd's Miss Ilala 2012.
Chanzo: www.mrokim.blogspot.com
No comments:
Post a Comment