Banner

Banner

FOLLOW US FACEBOOK

propertyfinder.co.tz

Saturday, October 20, 2012

EDA SYLVESTER ATWAA TAJI LA REDD'S MISS TEMEKE 2012 ...!

 
 Redd's Miss Temeke 2012, Eda Sylvester akiwa katika pozi baada ya kutwaa taji lake usiku huu.
Eda Sylvester (katikati) akiwa na mshindi wa pili Flaviana Maeda (kushoto) na mshindi wa tatu Catherine Masumbigana (kulia).
MREMBO Eda Sylvester usiku huu amefanikiwa kutwaa taji la Redd's Miss Temeke 2012 katika kinyang'anyiro kilichofanyika katika ukumbi wa PTA Sabasaba, Temeke jijini Dar es Salaam. Eda Sylvester mwenye umri wa miaka 21 anatoka katika kitongoji cha Kigamboni na ni mwanafunzi katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam akichukua Shahada ya Sanaa
Hawa ndio warembo waliofanikiwa kuonja tano bora 

(PICHA  NA HABARI : ERICK EVARIST, MAULID KILINDA, LUQMAN MALOTO NA CLARENCE MULISA  KUTOKA GPL)

No comments:

Post a Comment