Redd's Miss Temeke 2012, Eda Sylvester akiwa katika pozi baada ya kutwaa taji lake usiku huu.
Eda Sylvester (katikati) akiwa na mshindi wa pili Flaviana Maeda (kushoto) na mshindi wa tatu Catherine Masumbigana (kulia).
MREMBO
Eda Sylvester usiku huu amefanikiwa kutwaa taji la Redd's Miss Temeke
2012 katika kinyang'anyiro kilichofanyika katika ukumbi wa PTA Sabasaba,
Temeke jijini Dar es Salaam. Eda Sylvester mwenye umri wa miaka 21
anatoka katika kitongoji cha Kigamboni na ni mwanafunzi katika Chuo
Kikuu cha Dar es Salaam akichukua Shahada ya Sanaa
No comments:
Post a Comment