Banner

Banner

FOLLOW US FACEBOOK

propertyfinder.co.tz

Sunday, October 28, 2012

JCB AKAMATWA KUISAIDIA POLISI KUFUATIA KIFO CHA LEXA ..!


Lexa Julius enzi za uhai wake


JCB

Juzi ijumaa ya tarehe 26 october 2012 mmoja wa member wa WATENGWA anaeitwa Lexa Julius ambapo inasemekana siku ya ijumaa
akiwa maeneo ya viv via alitoka nje ambapo alivamiwa na watu ambao wanamfahamu na kumpiga na kumuibia vitu vyake baada ya hapo alirudi ndani via via na baadae alienda nyumbani kwake kwenda kulala na ndipo kifo kilipomkuta. Hali hiyo ambayo mpaka sasa bado kuna ukungu mzito kwa ndugu, jamaa na marafiki wa karibu wa Lexa ambao wamebaki na masikitiko makubwa sana.

Nilifanikiwa kuongea na producer wa WATENGWA "Daudi Bakari" maarufu kama Daz "Kweli Lexa alivamiwa na watu ambao wanamfahamu na kumpiga na kumuibia vitu vyake baada ya hapo alienda nyumbani kwake kulala na ndipo kifo kilipomkuta na kutokana na tukio hilo polisi walimkamata JCB kwa mahojiano maana JCB ndio mtu aliyekua na Lexa muda mfupi kabla ya kukutwa na mkasa huo. Lakini tayari polisi wamesha mhoji JCB na kumuachia huru na kwa sasa JCB yupo mtaani anaendelea na harakati zake. Mazishi ya Lexa yatafanyika kesho jumatatu tarehe 29 October nyumbani kwao maeneo ya ilboru mjini Arusha" alisema Daudi

No comments:

Post a Comment