
Chanzo: www.djfetty.blogspot.com
![]() |
Picha ya Track hiyo. |
Katika ufaninisi wa kukuza mziki wa bongo, Mwanamziki Diamond Platnumz amekuwa akijitahidi siku hadi siku kufanya uboreshaji wa kazi yake ya kukuburudisha wewe shabiki wake.
Hii ndio kazi yake ya Nataka Kulewa ambayo anatarajia kuiachia hivi karibuni.
"Usiniulize kwanini sababu utazingua....ukitaka jiunge na mimi, kama ni pesa wewe kunywa mimi ntanunua"
Katika maandalizi ya kutengeneza cover hiyo... |
No comments:
Post a Comment