
Jumanne ya jana, tarehe 20, timu ya Barcelona ilifuzu kuingia mzumguko wa pili wa hatua ya timu 16 bora zitakazo cheza kwa mtoano katika UEFA Champions League,
Barca ilifuzu kwa kuifunga Spartak Moscow kwa goli 3-0, magoli mawili yakiwekwa kimiani na Lionel Messi.
Magoli hayo yamemwezesha Messi kufikia rekodi ya Ruud van Nistelrooy ya kuwa na magoli 56 barani Ulaya kwa pamaja wakiwa nafasi ya pili huku No 1 akiwa ni Raul kutoka Uhispania.
Rekodi nyingine ni kuweza kufunga magoli 19 katika miji tofauti tofauti barani Ulaya.
No comments:
Post a Comment