Banner

Banner

FOLLOW US FACEBOOK

propertyfinder.co.tz

Wednesday, November 21, 2012

VODACOM YAICHANGIA HOSPITALI YA CCBRT SH. BILIONI NANE ...!

 
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akionesha cheki ya Shilingi bilioni nane iliyotolewa na Kampuni ya VODACOM Tanzania kwa ajili ya ujenzi wa hospitali maalumu itakayo shughulika kutibu wanawake walioathirika na Ugonjwa wa Festula pamoja na ulemavu mwingine. Wengine katika picha kutoka kushoto ni Naibu Waziri wa Fedha, Mhe.Janet Mbene, Mkurugenzi Mtendaji VODACOM Tanzania Bwana Rene Meza, Ofisa mtendaji Mkuu Hospitali ya CCBRT Bwana Telemans Erwin na kulia ni mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Bwana Said Meck Sadik

Picha na Freddy Maro Ikul.

No comments:

Post a Comment