Banner

Banner

FOLLOW US FACEBOOK

propertyfinder.co.tz

Tuesday, November 13, 2012

Kura zatosha kwa Kikwete, Shein na Mangula...!

Mwenyekiti Taifa Dr. Jakaya Mrisho Kikwete
Kura zilizopigwa 2397
Kura halali - 2397
Kura zilizoharibika  - 0
Kura  za hapana - 2
Kura za ndio - 2395
Ameshinda kwa 99.92%

Makamu Mwenyekiti Zanzibar Dr. Ali Mohamed Shein
Kura zilizopigwa 2397
Kura halali - 2397
Kura zilizoharibika  - 0
Kura  za hapana - 0
Kura za ndio - 2397
Ameshinda kwa 100%

Makamu Mwenyekiti Bara Philip Mangula
Kura zilizopigwa 2397
Kura halali - 2397
Kura zilizoharibika  - 0
Kura  za hapana - 0
Kura za ndio - 2397
Ameshinda kwa 100%

No comments:

Post a Comment