Banner

Banner

FOLLOW US FACEBOOK

propertyfinder.co.tz

Wednesday, November 21, 2012

WATEJA 42 WA TIGO LEO KUIBUKA WASHINDI KATIKA DROO YA PILI YA SMARTCARD...!


Meneja Intaneti wa Tigo Titus Kafuma (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari kuhusu Tigo kuchagua washindi wengine 42 leo mbele ya Revenue Assurance na Bodi ya Usimamizi wa Michezo ya Bahati Nasibu katika droo ya pili ya mwezi ya Jumuiya ya Tigo SmartCard itakayofanya washindi waliochaguliwa mpaka sasa kufikia 84.

No comments:

Post a Comment