Banner

Banner

FOLLOW US FACEBOOK

propertyfinder.co.tz

Saturday, December 22, 2012

DIAMOND: HAYA HAPA MASHAIRI YA WIMBO WA NATAKA KULEWA...!

We niache niende niende niende ni ende x2

{Verse 1}

Usiniulize kwanini sababu utanizingua
ukitakajiunge na mimi kama ni pesa we kunywa ntanunua..
Mi mwanzo sikuamini nikajuaga vyakuzua
Kumbe mjinga ni mimi ninayetunza wenzangu wanachukuwa..
(Oooh! Mapenzi) Mapenzi yalinifanya ka_mtoto nilie vibaya,
mie siwezi kwa yalonikuta we niache niseme jina
(Ooooh! Mapenzi) yalinifanya ka_mtoto nilie vibaya
na nnamengi yamenikaa moyoni

{Chorous}
Leo nataka kulewa {Lewaaaaa}
Mi nataka kulewa {Lewaaaaa}
Nataka kulewa {Lewaaaaa}
Zikipanda nimwage radhi....x2
We niache niende niende niende ni ende...x2

(Vearse II)

Mi kwa mapenzi maskini Nikamvisha na pete nikamuoa
kukata vilimilimi vya wazushi wanafki wanaomponda...
kumbe mwenzangu na mimi ni bure tu najisumbua
si tuko kama ishirini mabuzi ving`asti wengine anawaonga..
(Oooh! Mapenzi) yalinifanya ka_mtoto nilie vibaya,
mie siwezi, kwa yalonikuta we niache niseme jina
(Ooooh!) Mapenzi yalinifanya ka_mtoto nilie vibaya
na nnamengi yamenikaa moyoni

{Chorous}
Leo nataka kulewa {Lewaaaaa}
Mi nataka kulewa {Lewaaaaa}
Nataka kulewa {Lewaaaaa}
Zikipanda nimwage radhi....x2
We niache niende niende niende niende..x2

No comments:

Post a Comment