Banner

Banner

FOLLOW US FACEBOOK

propertyfinder.co.tz

Tuesday, December 25, 2012

MJINI ZANZIBAR PADRE APIGWA RISASI NA WATU WASIOJULIKANA...!


Padre anayefahamika kwa jina la Ambrose Mkenda amepigwa Risasi na Watu wasiofahamika kwenye geti la nyumbani kwake wakati akifunguliwa geti aingie nyumbani kwake maeneo Kitomondo Mjini Zanzibar, ambako ndiko makazi yake yalipo akiwa ndani ya gari aliyokuwa akiendesha peke yake.

Hali yake sio nzuri kwani Risasi aliyopigwa imemdhuru maeneo ya mdomoni.

Waliompiga Risasi Padre huyo inasemekana ni watu waliokuwa kwenye pikipiki, ambao walimvamia akisubiria afunguliwe geti kuingia nyumbani kwake.

Chanzo: Jamiiforum

No comments:

Post a Comment