Banner

Banner

FOLLOW US FACEBOOK

propertyfinder.co.tz

Thursday, December 27, 2012

KESHO NDIO ROMA MKATOLIKI ATAACHIA NGOMA YAKE MPYA IITWAYO "2030" ...!


Baada ya kukaa kimya kwa zaidi ya mwaka bila kutoa ngoma mpya, hatimaye rapper Roma anatarajia kutoa ngoma yake mpya kesho Ijumaa.

Ngoma hiyo inaitwa 2030 na kama kawaida yake amezungumza masuala mengi pamoja na kutaja majina ya watu wengi maarufu kwa kuoanisha na matukio.

Hit ya mwisho aliyoitoa Roma ni Mathematics.

No comments:

Post a Comment