Banner
FOLLOW US FACEBOOK
propertyfinder.co.tz
Saturday, January 19, 2013
MHARIRI WA GAZETI LA MWANAHALISI, SAED KUBENEA AJIPANGA KUGOMBEA UBUNGE KWA TIKETI YA CHADEMA ...!
MHARIRI wa habari wa gazeti la Mwanahalisi Saed Kubenea, inasemekana kuwa ameanza kujipanga kikamilifu kugombea nafasi ya Ubunge katika Jimbo la Kibaha Mjini kupitia CHADEMA mwaka 2015, na kwa hivi sasa Jimbo hilo linaongozwa na Silvestry Koka ambaye ni kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment