Banner

Banner

FOLLOW US FACEBOOK

propertyfinder.co.tz

Saturday, January 19, 2013

MTUHUMIWA WA EPA JAI SOMANI AJIPIGA RISASI NA KUFA...!


Marehemu Jai Somani (kushoto, mwenye shati la kijani) alipokua akiingia mahakamani na watuhumiwa wenzake, enzi za uhai wake


MSHITAKIWA katika kesi ya wizi wa zaidi ya Shilingi bilioni 5 za Benki Kuu ya Tanzania kutoka katika Akaunti
ya Madeni ya Nje ya Benki Kuu ya Tanzania (EPA), Jai Chotalal Somani amejiua kwa kujipiga risasi.
Mshitakiwa huyo anadaiwa kujiua jana
asubuhi nyumbani kwake, mtaa wa Mindu, Upanga katika Manispaa ya Ilala. Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa Parang Somani ambayeni kaka yake hajui kwa nini mdogo wake amejiua.

Source - habarileo

No comments:

Post a Comment