Banner

Banner

FOLLOW US FACEBOOK

propertyfinder.co.tz

Tuesday, February 12, 2013

OMY DIMPOZ APANIA KUFUNIKA USIKU WA VALENTINE'S DAY MOSHI

Katika kusheherekea Siku ya Wapendanao Duniani, Ndani ya Moshi kumekumbwa na homa kali ni Homa ya kushuhudia kundi la Kigoma All Stars ambao wanatarajia kudondosha bonge la show ndani ya Ukumbi wa Aventure Africa ulioko Majengo moshi. 

Akipiga story na King Jofa Msanii anayekuja kwa kasi kutoka katika kundi la Kigoma All Stars Omy Dimpoz amesema usiku huo utakuwa wa kipekee kwani atawapa ladha ambayo hamjaipata kutoka kwa msanii yeyote, Pia amesema atawapa kile alichowapa wakazi wa Dar Es Salaam katika uzinduzi wa video yake mpya aliyofanya na Vanesa Mdee alimaliza kwa kusema. "Wakazi wa Moshi wakae Mkao wa kula."



Katika usiku huo wa wapendanao utaambatana na Burudani mbalimbali kutoka kwa wasanii kama Baba Levo, Recho, Maunda Zoro, Abdul Kiba, Chege, Omy Dimpoz na Peter Msechu pamoja na zawadi kibao, Kwa wale wapenzi watakaopendeza watapatiwa zawadi ya Silver Set kwa mwanamke zenye thamani ya zaini ya shilingi laki nne na Mwanaume atapatiwa Bracelet ya silva yenye thamani zaidi ya laki mbili kutoka Sonara kubwa Moshi mjini iliyopo mkabala na bank ya Exim Bank iitwayo ASMM PEAK GEMSTONE DEALERS LTT au maarufu kama SONARA SANAAAAAA !!!!




Pia Duka maarufu la uuzaji wa nguo za kike za Mitumba na Washauri wa Mavazi kwa wakina Dada lililopo Moshi mjini Mkabala na Mr Price City linajulikana kama A & A CLASSICS BOUTIQUE watatoa zawadi ya Vocha ya Kufanya Shopping kwa Mwanadada Atakayetoka Ki valentine siku hiyo.

Hii Si ya kukosaaaaaaaaaa

No comments:

Post a Comment