Katika kusheherekea Siku ya Wapendanao Duniani, Ndani ya Moshi kumekumbwa na homa kali ni Homa ya kushuhudia kundi la Kigoma All Stars ambao wanatarajia kudondosha bonge la show ndani ya Ukumbi wa Aventure Africa ulioko Majengo moshi.

Katika usiku huo wa wapendanao utaambatana na Burudani mbalimbali kutoka kwa wasanii kama Baba Levo, Recho, Maunda Zoro, Abdul Kiba, Chege, Omy Dimpoz na Peter Msechu pamoja na zawadi kibao, Kwa wale wapenzi watakaopendeza watapatiwa zawadi ya Silver Set kwa mwanamke zenye thamani ya zaini ya shilingi laki nne na Mwanaume atapatiwa Bracelet ya silva yenye thamani zaidi ya laki mbili kutoka Sonara kubwa Moshi mjini iliyopo mkabala na bank ya Exim Bank iitwayo ASMM PEAK GEMSTONE DEALERS LTT au maarufu kama SONARA SANAAAAAA !!!!
Pia Duka maarufu la uuzaji wa nguo za kike za Mitumba na Washauri wa Mavazi kwa wakina Dada lililopo Moshi mjini Mkabala na Mr Price City linajulikana kama A & A CLASSICS BOUTIQUE watatoa zawadi ya Vocha ya Kufanya Shopping kwa Mwanadada Atakayetoka Ki valentine siku hiyo.
Hii Si ya kukosaaaaaaaaaa
No comments:
Post a Comment