Banner

Banner

FOLLOW US FACEBOOK

propertyfinder.co.tz

Wednesday, April 17, 2013

HIZI NI PICHA ZA WABUNGE NA MATUSI WALIYOYAPOROMOSHA BUNGENI, SPIKA AAHIDI KUWAPELEKA POLISI...!

Lugha kama hizi zimesababisha Watanzania wengi wakose hamu ya kusikiliza vikao vya Bunge.
 
Tumechoshwa  na  lugha  chafu  za  waheshimiwa. Bunge   ni sehemu ambayo tulipaswa kuwa tunasikiliza hoja za sera zikiwasilishwa na sheria kutungwa, lakini imeshindikana.
 

JOSEPH MBILINYI:

"Mambo mengi  ya  nchi  hii  hayaendi  kutokana  na  SERIKALI  PUMBAVU....
Hatuwezi  kuwa  na  WAZIRI WA ELIMU BOYA  mwenye  elimu  ya  kuunga  unga  halafu  tufanye  vizuri  katika  sekta  ya  elimu , haiwezekani."

LIVINGSTONE  LUSINDE:
"Siwezi  kuikubali  taarifa  hiyo.Nadhani  huyu  mtu  bado  amechanganyikiwa  na  uchaguzi  wa  kenya.Mimi  sijaitaja  Chadema bali  nimesema  kuna  chama  kimoja  cha siasa,SIJUI YEYE  ANAWASHWA  NINI..!!

JUMA NKAMIA:
Sugu  naomba  unyamaze.Mimi  ndiye  nazungumza.Mimi  siongei  na  mbwa,naongea  na  mwenye  mbwa.

No comments:

Post a Comment