Banner

Banner

FOLLOW US FACEBOOK

propertyfinder.co.tz

Sunday, April 28, 2013

KAMPUNI YA MARENGA INVESTMENT YAWEZESHA MAANDALIZI YA SIKU YA WAANDISHI WA HABARI DUNIANI...!

Kikosi cha timu ya Marenga investment.

 Timu ya Marenga inverstment na Waandishi wa habari zikiwa tayari kwa ukaguzi kabla ya kuanza kwa mechi

 IKIWA Kesho  waandishi wa Habari kote Duniani wanaadhimisha siku yao, ndani ya Mkoa Kilimanjaro waandishi wa habari wamesheherekea  Maandalizi ya siku hii kwa bonanza kubwa ambalo limedhaminiwa na Kampuni ya Marenga investment. Bonanza hilo lilizikutanisha timu ya mpira wa pete ya wanawake ya waandishi wa habari dhidi ya Timu ya Wafanyakazi wa Marenga Investanisha Timu ya mpira wa pete ya wanawake ya waandishi wa habari dhidi ya Timu ya Wafanyakazi wa Marenga Investment wakati  katika  Matokeo ya mchezo huo wa awali uliochezwa mnamo wa saa  saa nane kamili na matokeo ikawa ni timu ya waandishi wa habari walishinda kwa vikapu na 35 Marenga vikapu 12.
Baada ya mchezo huo ulifuatiia mchezo wa mpira wa miguuuu ambapo timu ya wafanyakazi wa Marenga walichuana na timu ya wafanyakazi wa Marenga investment walichuana na timu ya waandishi wa habari waliibuka kidedea kwa ushindi wa bao 5 - 3 dhidi ya Marenga investment. Hataa hivyo mgeni rasmi alikua ni Katibu wa chama cha soka Kilimanjaro ndugu  Mohamedy Mussa Alisema Alisema huu ni wakati wa Wafanyabiashara na wadau wa michezo kujitoa katika michezo na kufufua michezo ndani ya mkoa Kilimanjaro huku akitoa pongezi za dhati kwa Kampuni ya Marenga Investment iliyopo Kiboriloni mjini  Moshi kwa kudhamini  Bonanza hilo.

Kocha wa Timu ya  Marenga investmentakiwa na Maginga mwenye jezi ya blue wakitoa maelezo kwa timu ya wanawake kabla ya kipindi cha pili.

Timu ya wanawake waandishi wa habari ikiwa tayari kabla ya mechi.

No comments:

Post a Comment