Banner

Banner

FOLLOW US FACEBOOK

propertyfinder.co.tz

Thursday, June 20, 2013

DIAMOND AAHIDI KUMFUNIKA VIBAYA PREZZO SHOO YA USIKU WA MATUMAINI 2013


 Platnumz akijiaandaa kabla ya mahojiano.

 ...Akibadilishana mawazo na Sauda kabla ya kuanza mahojiano.

 Diamond akilonga na Sauda kuhusu shoo kali atakayotoa Usiku wa Matumaini 2013.

Sauda na Diamond wakiwa mbele ya kamera.

 Mtu wa kamera akiwa mzigoni.
---
Na Wilbert Molandi
MKALI wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul ‘Diamond’ ametamba kufanya shoo kali ikiwemo kumfunika msanii wa Uganda, Prezzo katika Tamasha la Matumaini 2013 litakalofanyika Sikukuu ya Sabasaba kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar.Diamond ametoa majigambo hayo wakati wa mahojiano na Mtangazaji wa kituo cha Star TV, Sauda Mwilima.

“Nimeahidi kufanya bonge la shoo kwenye Tamasha la Matumaini siku hiyo, mashabiki wangu na wapenzi wa muziki wajitokeze kwa wingi.“Ninataka kudhihirisha ubora wangu siku hiyo kwa kumfunika vibaya Prezzo,” alisema Diamond

No comments:

Post a Comment