Mtoto Fahad Jamal alipotembelewa na Waziri wa Mambo ya Ndani, Dk Emmanuel Nchimbi kwenye chumba cha ICU siku chache zilizopita.Mtoto Fahad Jamal (7) ambaye hali yake ilikuwa mbaya na kulazwa chumba cha wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalumu (ICU) katika Hospitali ya Selian kufuatia kujeruhiwa na bomu katika mkutano wa Chadema Arusha Amefariki dunia
Banner
FOLLOW US FACEBOOK
propertyfinder.co.tz
Thursday, June 20, 2013
MTOTO ALIYEJERUHIWA MLIPUKO WA BOMU ARUSHA NAYE AFARIKI DUNIA..!
Mtoto Fahad Jamal alipotembelewa na Waziri wa Mambo ya Ndani, Dk Emmanuel Nchimbi kwenye chumba cha ICU siku chache zilizopita.Mtoto Fahad Jamal (7) ambaye hali yake ilikuwa mbaya na kulazwa chumba cha wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalumu (ICU) katika Hospitali ya Selian kufuatia kujeruhiwa na bomu katika mkutano wa Chadema Arusha Amefariki dunia
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment