Banner

Banner

FOLLOW US FACEBOOK

propertyfinder.co.tz

Thursday, June 13, 2013

Kilichosemwa na hospitali ya Muhimbili kuhusu kifo cha msanii Langa.


Aminiel Aligaesha ambae ni Afisa Uhusiano wa hospitali ya Taifa Muhimbili amethibitisha kwamba msanii Langa amefariki dunia June 13 2013 saa kumi na moja jioni baada ya kufikishwa hospitalini hapo toka juzi jioni ambapo kutokana na sababu za kimaadili kwenye tiba, Muhimbili hospitali hawawezi kusema rapper huyu alikua anaumwa nini bali ndugu ndio wenye mamlaka ya kufanya hivyo.

Kwenye maelezo aliyoyatoa kwa millardayo.com Aminiel amesema Marehemu Langa alipokelewa kwenye idara ya wagonjwa wa magonjwa ya dharura usiku wa kuamkia jana na kupatiwa huduma ambapo leo June 13 2013 ndio alihamishiwa kwenye chumba cha wagonjwa Mahututi na baadae kufariki dunia.

1 comment:

  1. familia ya Mr Magesse Machenja wazazi wa Godfrey Magesse tunatoa pole sana kwa msiba wa Mtoto wetu mpendwa Mungu ailaze roho ya marehemu Langa mahari pema peponi Amina Tuko pamoja kwenye msiba
    .

    ReplyDelete