Banner

Banner

FOLLOW US FACEBOOK

propertyfinder.co.tz

Wednesday, June 5, 2013

MAREHEMU ALBERT MANGWEHA AAGWA NA MAELFU VIWANJA VYA LEADERS CLUB LEO JUMATANO 5/6/2013..!

Hii ni kamati ya msiba wa marehemu Albert Mangweha ikiongozwa na mwenyekiti wake Adam Juma akitoa maneno ya shukrani kwa watu wote waliojitokeza katika viwanja vya Leaders Leo Jumatano kuuaga mwili wa marehemu Albert Mangweha. Na Baada ya kutoa heshima ya mwisho mwili wa marehemu Albert Mangweha umesafrishwa kupelekwa Morogoro kwa ajili ya maziko ambayo yatafanyika kesho Alhamisi 6/6/2013 huko Kionda Morogoro ambako ndio kwao aliko mama yake mzazi..R.I.P Ngwair.













Pichani juu ni baadhi ya waombolezaji waliojitokeza katika Viwanja vya Leaders kwa ajili ya kuuaga mwili wa marehemu Albert Mangweha

No comments:

Post a Comment