Banner

Banner

FOLLOW US FACEBOOK

propertyfinder.co.tz

Thursday, June 6, 2013

TIZAMA PICHA ZA MWILI WA MAREHEMU ALBERT MANGWEA ULIVYOPOKELEWA MKOANI MOROGORO ...!



Msafara wa kupokea mwili wa msanii  marehemu Albert Mangwea ukiwa unaingia morogoro hapa ni eneo la nane nane, Umati mkubwa umejitokeza katika mapokezi hayo jioni ya le.




Wakazi wa Morogoro wakishuka kwenye gari kwa ajili ya mapokezi ya mwili wa Marehemu Albert Mangwea



Askari wa usalama barabarani wakifanya kazi yao






Mapokezi ya mwili wa marehemu Albert Mangwea eneo la Mazibu Road Kihinda



Umati mkubwa ukiwa unaushuhudia mwili wa Marehemu Albert Mangwea


 
Msanii wa muziki wa kizazi kipya na filamu, KITALE, akisalimiana na mashabiki wake baada ya kuwasili nyumbani kwa marehemu. Msanii huyu mchana alitoka kali ya mwaka kwenye viwanja vya Leaders, baada ya kuibiwa simu na kumkamata mwizi wake na kisha kumpakia kwenye gari na kutokomea nae kusikojulikana.

Msanii Afande Sele, akiwapokea wageni waliowasili na msafara huo..



Wapenzi na mashabiki wa marehemu Albert Mangwea wakiusindikiza mwili huku wakiimba nyimbo za uzuni

No comments:

Post a Comment