TENDWA "TUTAIFUTA CHADEMA ENDAPO ITABAINIKA KUWA WALIRUSHA BOMU LA ARUSHA WENYEWE"...!
Msajili
wa Vyama vya Siasa nchini John Tendwa, amedai kuwa ikibainika kuwa
CHADEMA ndio waliohusika katika kulipua bomu katika mkutano wao wa
uliofanyika tarehe 15/06/2013 katika viwanja vya soweto jijini Arusha, atakifuta chama hicho.
Tendwa
ameyasema hayo alipokuwa akizungumza katika kipindi cha Hot Mix cha
East Africa Television akijibu swali la mtangazaji wa kipindi Adrian
Stepp kuhusu hatua zitakazochukuliwa...
Alipoulizwa
kama itathibitika kuwa CCM ndio walihusika kulipua bomu hilo amedai
kuwa hawezi kukifuta kwakuwa kwa kufanya hivyo itakuwa ni kufanya
mapinduzi ya kalamu.
Source :Jamiiforum
No comments:
Post a Comment