Banner

Banner

FOLLOW US FACEBOOK

propertyfinder.co.tz

Tuesday, June 11, 2013

WAREMBO WA MISS TANZANIA KILIMANJARO WAFANYA ZIARA LEO




WAREMBO WAKIWA PANONE



WASHIRIKI waliofanikiwa kuingia katika kinyang'anyiro cha kumsaka Redds Miss Kilimanjaro 2013 leo wamepata fursa ya kutembelea kampuni mbali mbali zilizodhamini shindano hilo litakalofanyika tarehe 15/06/2013 pale Club Laliga.


WAREMBO WAKIWA NA MKUU WA MKOA PAMOJA NA MKUU WA WILAYA NJE YA OFISI YA MKUU WA MKOA WALIPOTEMBELEA OFISI HIYO MAPEMA LEO

 Kampuni zilizodhamini mashindano hayo ni pamoja na Redd's Original, Viafrica Bussines Solution, Panone and Co. Ltd, K.C.K Traders, Afrika sana holili, Hugos Hotel, Q Wine Hotel, Mr. Price, Kingjofa blog, Michuzi Blog. Shindano hilo linaloonekana kuwa gumzo kubwa sana katika mkoa wa kilimanjaro kwa jinsi ambavyo waandaaji walivyojipanga kuhakikisha kuwa wakazi wa mkoa wa kilimanjaro na mikoa ya jirani wanapata burudani ya kutosha siku hiyo.  



      WAREMBO WAKIWA NJE YA OFISI YA VIAFRICA    BUSINESS SOLUTION

Ambapo kwa upande wa burudani atakuwepo KIDUMU pamoja na bandi yake pia wasanii kutoka bongo movie watakuwepo kuweza kutoa burua burudani ya aina yake katika kuusindikiza usiku huo wa urembo.

 MSANII KIDUMU AKIFANYA VITU VYAKE KATIKA MOJA YA SHOW ZAKE ALIZOFANYA BARANI ULAYA HIVI KARIBUNI


            WAREMBO WAKIWA BONITE BOTTLERS LTD

             PICHA YA PAMOJA NA MKUU WA WILAYA

YOU MIGHT ALSO LIKE THIS

No comments:

Post a Comment