Banner

Banner

FOLLOW US FACEBOOK

propertyfinder.co.tz

Friday, July 17, 2015

MATUKIO YA PICHA MBALIMBALI JIJINI ARUSHA NDANI YA USAILI WA BSS

  Majaji wa mwaka 2015 wa shindano la BSS AUDITIONS  linaloendelea kufanyika  wa kwanza kulia ni Madam Ritha, katikati ni Master J, na upande wa kulia ni Salama Jabiri, wakiwa ndani ya ukumbi wa triple A, Arusha.
 vijana wengi walijitokeza kwa wingi kuonesha uwezo












  Papaa MAfido akibandikwa sticker ya namba yake kwenye mashindano ya BSS jijini Arusha





Na Woinde Shizza

No comments:

Post a Comment