Banner

Banner

FOLLOW US FACEBOOK

propertyfinder.co.tz

Wednesday, March 9, 2016

WAFANYAKAZI 597 WA NIDA WAFUTWA KAZI, WALIOFUTWA WADAI HAWAKULIPWA MSHAHARAKWA MIEZI MITATU



 "NIDA chini ya malengo yake ilitarajia kuzalisha vitambulisho 24,000 kwa siku kukiwa na wafanyakazi 802 wenyemkataba wa kudumu na 597 mikataba ya muda,tumekuwa tukizalisha chini ya 10% kwa siku tuko jumla 1399 ukigawanya tu kwa sisi wote ukweli kunawengine wanabaki bila uzalishaji.haiwezeka"Alifafanua Dr.Kipilimba Mkurugezi wa NIDA

 

Updates:
Vijana waliofutwa kazi NIDA watakutana Victoria jengo la BMTL.

Wanadai kwamba wamefukuzwa kazi kabla ya mikataba yao kuisha na pia hawajalipwa mishahara kwa miezi 3, Watakuwa Makumbusho leo saa nne asubuhi, wanataka kukutana na kuongea na Waandishi wa Habari.

 

Chanzo: mwanaharakatimzalendo


No comments:

Post a Comment