DW (Kiswahili) Leo ni siku ya Umoja wa mataifa ya kulinda amani
duniani. Miongoni mwa nchi ambako umoja huo
unasimamia zoezi hilo barani Afrika ni Jamhuri ya
Kidemokrasia ya Kongo ikiwa na jumla ya wanajeshi
17,000. Ni miaka 10 tangu Umoja huo ulipotuma
wanajeshi nchini Kongo, ambapo wanajeshi 149 wa umoja huo wameuawa . Ngome kuu ya ujumbe
wake wa amani ni katika jimbo la Kivu Kaskazini
mashariki mwa nchi hiyo
duniani. Miongoni mwa nchi ambako umoja huo
unasimamia zoezi hilo barani Afrika ni Jamhuri ya
Kidemokrasia ya Kongo ikiwa na jumla ya wanajeshi
17,000. Ni miaka 10 tangu Umoja huo ulipotuma
wanajeshi nchini Kongo, ambapo wanajeshi 149 wa umoja huo wameuawa . Ngome kuu ya ujumbe
wake wa amani ni katika jimbo la Kivu Kaskazini
mashariki mwa nchi hiyo
No comments:
Post a Comment