Banner

Banner

FOLLOW US FACEBOOK

propertyfinder.co.tz

Saturday, August 25, 2012

DULLY SYKES AELEZEA UMUHIMU WA ELIMU...!

Msanii wa bongo fleva Abdull Sykes ‘Dully Sykes’ amefunguka kuwa yupo tayari kurudi shule. Akizungumza wiki iliyopita katika kituo cha redio Dully alisema yeye binafsi hafichi kwani ameishia kidato cha pili na kiingereza anachoongea ni kwa ujanja wake pamoja na marafiki zake wa karibu kumfundisha, vilevile amewaasa vijana na wasanii wenzake nao kusoma kwani dunia ya leo bila kusoma huwezi kusonga mbele, alimalizia na kusema kuwa yeye hatakama hatopata nafasi ya moja kwa moja basi atamtafuta mwalimu amfundishe hata nyumbani.

No comments:

Post a Comment