Banner

Banner

FOLLOW US FACEBOOK

propertyfinder.co.tz

Thursday, August 9, 2012

NAFASI ZA UWAKALA WA KUANDAA MASHINDANO YA MISS UTALII...!

 
Mikoa ambayo haijapata waandaaji baada ya maombi ya waliotuma kutokuwa na sifa, hivyo wenye sifa wajitokeze kuomba kuandaa ni : Njombe, Pwani, Lindi, Mtwara, Tanga Morogoro, Dodoma, Singida, Shinyanga, Simiyu, Geita, Tabora, Rukwa, Kigoma, Kanda ya Kati, Kanda ya Mashariki, Zanzibar, Kanda ya Kusini Nyanda ya Juu, Kanda ya Magharibi, ,Vyuo Vikuu Kusini,Vyuo Vikuu kaskazini,Vyuo Vikuu Magharibi,Vyuo Vukuu Kati,na Vyuo Vikuu.
Makampuni na watu wanaotaka kuandaa mashindano haya ya Miss Utalii Tanzania wawasiliane nasi kupitia barua pepe ya missutaliitanzania@gmail.com ,ukurasa wetu wa facebook wa miss tourism/missutalii tanzania na au ofisi za vyombo mabalimbali za vyombo vya habari. Fainali za taifa za Miss Utalii Tanzania 2012, sasa zitafanyika siku ya mkesha wa sherehe za uhuru 8/12/2012 baada ya kuahitishwa kupisha utaratibu na kalenda mpya ambapo sasa kila mwaka Fainali za taofa zitafanyika siku ya mkesha wa sherehe za uhuru. Mikoa na kanda zote zinatakiwa kuwa zimekamilisha fainali zake kabla ya Novemba 15 kila mwaka.
Asante.

No comments:

Post a Comment