Hiki ndio kikosi
cha timu ya Simba B kilicho lipa kisasi kwa Azam FC leo katika uwanja wa
Taifa jijini Dar es salaam, katika michuano ya Bank
ABC Super8 inayoendelea hivi sasa . Simba imeibuka kidedea kwa 2-1 katika mchezo
huo.
Kikosi cha Azam FC kilichoshindwa kufurukuta kwa Simba B.
No comments:
Post a Comment