Banner

Banner

FOLLOW US FACEBOOK

propertyfinder.co.tz

Friday, October 26, 2012

HII NDIO TIMU NZUMA YA UVCCM TAIFA...!

Mwenyekiti mpya - Khamis Sadifa Juma

Katibu Mkuu wa UVCCM Martine shigela akimkaribisha meza kuu Khamis Sadifa Juma baada ya kutangazwa mshindi

Mjumbe wa Kamati Kuu, Rais wa Zanzibar, Dk. Shein akiwa na Mwenyekiti mpya wa UVCCM, Khamis Sadifa Juma na Makamu Mwenyekiti UVCCM, Mboni Mhita baada ya viongozi hao wapya wa Umoja huo kutangazwa kuwa washindi leo katika uchaguzi mkuu wa UVCCM uliofanyika jana mjini Dodoma

Dk. Sheni akimpongeza Khamis Sadifa Juma, baada ya kutangazwa Mshindi wa kuwa Mwenyekiti mpya wa UVCCM Taifa, katika uchaguzi uliofanyika jana mjini Dodoma. (Picha na Bashir Nkoromo).

Aliyekuwa Kaimu Mwenyekiti UVCCM Beno Malisa akimpongeza Khamis Sadifa Juma, baada ya kutangazwa Mshindi wa kuwa Mwenyekiti mpya wa UVCCM Taifa, katika uchaguzi uliofanyika jana mjini Dodoma.

WAJUMBE NEC
Jerry Silaa
Deo Ndegembi
Anthony Mavunde
Jonas Nkya

Picha - Bashir Nkoromo wa http://bashir-nkoromo.blogspot.com
Chanzo - http://www.jamiiforums.com

No comments:

Post a Comment