Banner

Banner

FOLLOW US FACEBOOK

propertyfinder.co.tz

Thursday, December 27, 2012

PROMOTA ALIYEWALETA P SQUARE UGANDA ALAZWA HOSPITALI BAADA YA KUIBIWA PESA YOTE YA SHOW...!


 
 Muandaaji wa concert iliyopewa jina la chop my money, nakuwaleta P Square, amelazwa hospitali mara baada ya wajanja kutokomea na mkwanja wa ticket zilizouzwa kabla ya show na police wanasema inawezekana wezi hao wamekimbilia congo. 

Pesa iliyopotea ni zaidi ya milioni 450 za Uganda. Mkurugenzi wa silverback Yvonne naye amelazwa baada ya kugundua hata mkwanja wa getini umepotea. hiyo ndo chop my money.
 

No comments:

Post a Comment