Banner

Banner

FOLLOW US FACEBOOK

propertyfinder.co.tz

Thursday, June 27, 2013

SOMA HAPA BARUA YA WAZI KWA WATANZANIA TOKA KWA MCHUNGAJI MTIKILA

    Barua ya Wazi kwa WaTanzania
    Kuhusu Wanyrwanda Nchini

    Imeandikwa na Mchungaji Christopher Mtikila
    MAANGAMIZI YA KUTISHA YA WANANCHI WA
    BULIGI
    (Wanyarwanda wahusika na unyama dhidi ya
    Wasukuma)
    Hii ni Taarifa ya kuteketezwa zaidi ya nyumba
    500 za wananchi wa kabila la Wasukuma kwa
    moto, pamoja na tani nyingi za mazao yao
    ambayo ni pamoja na mpunga, mahindi,
    maharagwe, mtama, dengu, uwele, serena,
    pamoja na mali zao zingine, katika eneo liitwalo
    Buligi, katika Wilaya ya Muleba. Unyama huu
    wahusika wamejaribu kuuficha kwa jina la
    ‘Opresheni Okoa mazingira’.
    Ni lengo la Katiba ya Nchi yetu na Sheria pamoja
    na taarifa ifuatayo, kwamba wote waliohusika na
    maangamizi haya waadhibiwe vikali, na wananchi
    wote waliofanyiwa unyama huu ni lazima
    walipwe fidia za mali zao na mateso ya kutisha
    waliyopata. Baada ya kuchomewa nyumba zao
    na mali zao zote wananchi wengi wamelundikana
    makanisani, na wengi wako maporini wakikimbia
    unyama wa kutisha na kuporwa mali zao. Vijiji
    vilivyoteketezwa ni pamoja na Nyamiranda,
    Itunzi, Kasharara na Kiteme. Uharamia
    uliendelea mpaka maeneo ya Karagwe na
    Biharamulo kama alivyoeleza Mkuu wa Mkoa wa
    Kagera katika vyombo vya habari, kama gazeti la
    Mtanzania Toleo nambari 7142 la tarehe
    17/11/2012. Utetezi wa Mkuu wa Mkoa wa
    Kagera Col. Fabian Masawe wa maangamizi ya
    kutisha ya Wasukuma, kama ulivyokuwa ule wa
    Waziri wa Ardhi Profesa Anna Tibaijuka ambaye
    pia ni Mbunge wa Muleba Kusini, kwamba
    ilikuwa opresheni maalum iliyolenga kuondoa
    wahamiaji haramu wenye maelfu ya ng’ombe
    katika Hifadhi ya Taifa ya Buligiuna ukweli. Lakini
    Wasukuma si wahamiaji haramu, kwa sababu ni
    wazawa katika nchi yao, na hayo maelfu ya
    ng’ombe katika hifadhi si ya Wasukuma bali ni
    ya Watusi wa Rwanda.
    KIINI CHA MATATIZO YA WATUSI DUNIANI
    Hakuna asiyejua kuwa malengo makuu ya
    kuanzishwa Umoja wa Mataifa ni pamoja na
    kulinda haki na usawa wa binadamu wote
    ulimwenguni, ili idumu amani na kuleta
    maendeleo katika kuboresha maisha ya
    binadamu. Ndiyo maana ile sera ya Makaburu ya
    udhalilishaji wa mtu mweusi au ubaguzi wa rangi
    waliyoiita apartheid ilipigwa vita na dunia yote,
    mpaka ikatokomezwa. Hata ushujaa wa Nelson
    Mandela unaopita umaarufu wa kiongozi
    mwingine yeyote duniani, aliupata kwa sababu
    ya uhanga wake katika kutetea usawa wa
    binadamu wa rangi zote duniani. Lakiniapartheid
    ya Makaburu haikuweza kuufikia ushetani wa
    Watusi, jinsi wanavyowadhalilisha Wahutu na
    Wabantu wengine, kwa imani yao chafu sana
    kwamba wao eti waliumbwa kwa ajili ya kutawala
    tu, na kwamba Wahutu waliumbwa kwa ajili ya
    kuwa watumwa wao! Ni makufuru yanayojulikana
    wazi ya Watusi kuwatema mate Wahutu au
    Wabantu wengine kwa kinyaa kama vile ni mavi
    mbele zao. Na imani yao hii ya kishetani ndilo
    chimbuko la mbinu na mikakati yao yote ya
    kutawala siyo tu Maziwa Makuu bali hatimaye
    hata Afrika yote ya ‘watumwa’ wao!Tabia ya
    Watusi ya kula wao kwanza, halafu kuwatupia
    makombo watumwa wao (Wahutu), tena baada
    ya kuyatemea mate na makohozi, ni historia
    inayojulikana na kila mzawa wa Maziwa Makuu.
    Hata maendeleo yalipozidi kutowesha giza hili,
    bado wanawake Watusi walilazimika kudumisha
    udhalili wa Wabantu kwa kuolewa na wale wenye
    mali lakini mimba wapate kwa Watusi wenzao,
    ikibidi hata kwa ndugu zao wa damu kama
    hakuna Watusi wengine karibu. Historia
    itamuenzi shujaa Gregory Kayibanda wa Rwanda
    kuliko inavyomuenzi Nelson Mandela wa Afrika
    Kusini, kwa kutokomeza ile apartheid chafu
    kupindukia ya Watusi nchini Rwanda mwaka
    1959. Ukweli ni budi uheshimiwe na dunia
    kwamba Watusi wengi walikimbia kutoka Rwanda
    kufuatia mapindizi yale, kwa sababu ya kukwepa
    balaa ya kuwa chini ya watumwa wao!
    Watusiwalikimbilia Burundi na Tanganyika kwa
    baba yao Julius Nyerere, kujipanga kwa ajili ya
    “kurudisha ubwana wao juu ya watumwa wao”
    Rwanda. Kwa imani ya kishetani ya Watusi,
    Watanganyika kwao wao ni mataahira tu kama
    Wabantu wenzao yaani Wahutu. Hata bila
    kupayuka Watusi wanarithishana imani kwamba
    sisi tuliumbwa kwa ajili ya kuwa watumwa wao.
    Ubwana wa Watusi uliimarishwa kwa
    kupandikizwa utwana katika mioyo ya
    Watanganyika, wa kuwaona Watusi kuwa bora
    kuliko Wahutu pamoja na hata sisi wenyewe! Hali
    hii ndiyo iliyowezesha Watusi kujipenyeza katika
    sehemu zote nyeti za utawala wa Nchi yetu,
    pamoja na uhodari wao katika matumizi ya
    rushwa ya mapesa na chambo cha wanawake zao
    (the Tutsi sexual diplomacy). Ndivyo Watusi
    walivyofanikiwa hata kuiteka kifikra jumuiya ya
    kimataifa, ikabariki na kuwasaidia kuangamiza
    Wahutu zaidi ya milioni sita, na hata kugeuza
    kibao kuhusu genocide ya Rwanda kwamba
    Wahutu ndio walioangamiza Watusi! Ndiyo
    maana nchi yetu ilipokuwa na wakimbizi wa
    Kitusi na wa Kihutu, Watusi walipendelewa kwa
    kuhudumiwa kama wafalme na kuandaliwa
    kurudi “kuikomboa” Rwanda. Kwani ingawa
    Rwanda ilikuwa na utawala wa kidemokrasi wa
    Wahutu walio wengi kwa asilimia 85%Watusi
    wakiwa asilimia 14% tu, ni haramu Watusi kuwa
    chini ya Wahutu kwavile eti ni watumwa wao! Ni
    kweli kwamba matokeo ya ufisadi nautwana wa
    watawala wetu wanaoamini katika ubwana wa
    Watusi, ni pamoja na kufurahisha Watusi na
    baba yao Nyerere kwa kuhusika kwa serikali yetu
    katika yafuatayo:
    1. Maangamizi ya Wahutu zaidi ya 6,000,000,
    2. Uvamizi wa Jamhuri ya Rwanda kupitia Uganda
    na Burundi, ambapo maandalizi kwa sehemu
    kubwa yalifanyikia nchini mwetu kwa mkono wa
    Serikali ya CCM. 3. Kuhusika kikamilifu na mauaji
    ya kinyama ya marais watatu Wahutu wa Burundi
    na Rwanda yaani Melchior Ndadaye, Juvenal
    Habyarimana na Cyprien Ntaryamira pamoja na
    ujumbe wao wote, na ushetani mwingine wa
    kutisha.
    4. Kujiuza utumwani kwa Watusi, na kutumika
    kuliingiza eneo la Maziwa Makuu katika Himaya
    yao, kwa kuwasaidia kuingia katika Jumuiya ya
    Afrika Mashariki, wakati hawana sifa kabisa
    kulingana na Mkataba wa Uundaji wa Jumuiya
    (EAC), kwa unyama wa ‘apartheid’ na genocide
    yao.
    5. Kusaidia uvamizi wa DRC uliofanywa na
    Kagame na Mseveni, watawala wetu wakaivika
    aibu kubwa Nchi yetu kwa kukataa kushiriki
    katika Jeshi la SADC (SADC Alliance) la kusaidia
    ndugu zetu dhidi ya maharamia, Nchi yetu
    ikaongopea dunia bila aibu kwamba eti haiko
    upande wowote kati ya wavamizi na mnyonge
    aliyevamiwa!
    6. Kuwarudishia RPF Wahutu takriban milioni
    moja kwa unyama usiosemeka, waliokuwa
    wameyakimbia mauaji ya kinyama ya RPF baada
    ya kuvamia nchi yao, RPF wakawapokea na
    kuwaangamiza wote, na kumwaga maiti zao kwa
    maelfu katika mto Kagera, zikawa zinafunika
    Ziwa Victoria mpaka General Mboma alipotoa
    Tamko la kuvamia Rwanda kukomesha ushetani
    huu wa RPF, kama wasingeacha unyama huo
    mara moja.
    Nchi yetu inakabiliwa na kisasi cha Mwenyezi
    Mungu! Na ishara tayari zinaonekana! Kuna
    kuacha upumbavu na kutengeneza na Mwenyezi
    Mungu, ama mapigo makali kuliko yaliyoipiga
    Misri, yatakayosimuliwa vizazi vyote! Kwa ufisadi
    na utwana wa watawala wa nchi yetu kwa
    Watusi, bila chembe ya aibu wala hofu kwa
    Mwenyezi Mungu waliikaribisha katika ardhi yetu
    ICTR, ikiwa nyenzo maalum ya kuwasaidia Watusi
    kuangamiza Wahutu wote wenye uwezo kiuchumi
    na kifikra duniani! Kenya iliikataa ICTR katika
    ardhi yake, kwa kumwogopa Mungu kwa sababu
    ni nyenzo ya genocideiliyoangamiza mamilioni ya
    Wahutu, ikawafuata mpaka na wale milioni 2.5
    waliokuwa wamekimbizia uhai wao Mashariki ya
    Congo, na kuwateketeza kinyama! Kupenyezwa
    kwa Watusi katika ngazi zote nyeti za utawala wa
    nchi yetu kumewezesha Utusi kuteka nyara sera
    za nchi yetu zitumikie maslahi ya Watusi, kwa
    gharama ya heshima ya utaifa wetu na maslahi
    ya nchi yetu. Na siyo siri kwamba msingi wa
    laana hii yote iliyoonywa na Mwenyezi Mungu
    katika Kumbukumbu la Torati, ulijengwa na
    dikteta Julius Nyerere, ambaye leo anawekwa
    mahali pa Mwenyezi Mungu na kufanyiwa ibada
    ya ‘ubaba’ wa Taifa! Utekelezaji wa ndoto ya
    Nyerere ya kuweka eneo lote la Maziwa Makuu
    chini ya Himaya ya Watusi unasimamiwa na
    vijana wake, madikteta Yoweri Museveni na Paul
    Kagame aliyeangamiza mamilioni mengi ya
    binadamu duniani kuliko Adolf Hitler.
    Propaganda za ‘Jumuiya au Shirikisho la Afrika
    Mashariki’ zinazopigiwa debe kwa nguvu na hawa
    Watusi, ni katika ujenzi wa hiyo Himaya yao.
    Dikteta Yoweri Museveni ametangaza mara
    kadhaa haki yake ya kustahili kuwa Rais wa
    kwanza wa shirikisho la Maziwa Makuu (Himaya
    ya Watusi), na anacho kikosi cha majasusi zaidi
    ya 400 ndani ya Nchi yetu, yanaoiyeyusha nchi
    yetu kwa ajili ya kumezwa katika Himaya hiyo, na
    mafanikio yanaonekana kwa jinsi utawala wetu
    wa CCM unavyonyenyekea Watusi na
    kujidhalilisha kwao.
    KUMEZWA KWA DRC KATIKA HIMAYA YA
    WATUSI
    Mwuaji wa kutisha Paul Kagame alikwishaikamata
    DRC baada ya kufanikiwa kumwua Rais Laurent
    Kabila, akampenyeza madarakani Mnyarwanda
    Hypolite Adrien Christophe Kanambe kwa jina
    bandia la ‘Joseph Kabila’. Wauaji wa Rais Laurent
    Kabila baada ya kutoroshewa Rwanda
    walikimbiziwa hapa, ambapo walihamishiwa
    Norway kimya kimya. Mnyarwanda “Joseph
    Kabila” anayetawala Jamhuri ya Kidemokrasi ya
    Congo kama Gavana wa dikteta Paul Kagame, ni
    ndugu wa damu wa Mkuu wa Majeshi ya
    Kagame, yaani James Kabarebe, ambaye pamoja
    na Kayumba Nyamwasa ndio waliosimamia yale
    mauaji ya kutisha ya wale Wahutu milioni 2.5
    waliokuwa wamekimbilia DRC, ilipovamiwa nchi
    yao na wauaji wa RPF. Ni sera ya Rwanda
    kuhakikisha kuwa DRC haiwi na Jeshi imara,
    mpaka hapo mkakati wa Himaya yao
    utakapokamilika. Ndiyo sababu maafisa wa juu
    7,000 wa Jeshi la DRC ni Wanyarwanda. Hypolite
    Kanambe (Joseph Kabila) anatumikia maslahi ya
    Rwanda kwa uzalendo wa hali ya juu, na Rwanda
    inapovamia DRC pilika za Hypolite A. C. Kanambe
    huwa ni usanii tu wa kuhadaa ulimwengu.
    Vinginevyo lazima DRC ingewapa silaha askari
    Wahutu waliojichimbia Congo, ambao wana
    uwezo mkubwa sana wa kuutokomeza unyama
    wa Watusi. Hata uvamizi wa Rwanda wa RPF
    ulifanikiwa kwa kutanguliza vikwazo vikali sana,
    vilivyohakikisha kuwa majeshi ya Hayati Rais
    Habyarimana hayawi na silaha.Historia ni budi
    iwe sahihi, kwamba vijana wa Nyerere yaani
    Museveni na Kagame walivamia Zaire kwa
    maelekezo ya baba yao, bila hayati Laurent
    Kabila, kwa malengo ya kupanua Himaya yao na
    kuteka tani za dhahabu na madini mengine
    mengi ya thamani Gbadolite, Kilomoto, Kinshasa,
    Kisangani na kwingine, kwa ajili ya kujipatia
    mabavu ya kiuchumi ya kupanulia Himaya yao,
    na kugharamia propaganda kali inayohadaa
    jumuiya ya kimataifa. Dunia ilipoanza kupigia
    kelele uvamizi huo, ndipo Nyerere alipomtafuta
    Laurent Kabila haraka, zikiwa zimepita wiki mbili
    baada ya uvamizi kuanza, na kumtanguliza yeye
    mbele katika kuhadaa ulimwengu, kwamba ni
    Wakongo wenyewe walikuwa wanaikomboa nchi
    yao kutoka kwa dikteta Mobutu! Uvamizi
    ulipoingia Kinshasa Kabila aliwageuka Watusi
    kizalendo, na kuwaambia sasa warudi kwao
    wawaachie Wakongo nchi yao. Kwani
    aliyekusudiwa na Watusi kuwa gavana wa
    Rwanda wa koloni hilo ni Bizimana Karahamheto
    au ‘Bizima Karaha’ kwa jina la hadaa. Uporaji wa
    kutisha wa utajiri wa DRC ndio mtaji wa jeuri
    yote ya Kagame leo, ya kuchezea amani ya
    Maziwa Makuu, na kusambaza maelfu ya
    majasusi katika nchi za kusini mwa Afrika,
    kuzifanyia kazi chafu ili hatimaye zimezwe katika
    Himaya yao, mbali ya kugharamia kikosi chake
    cha Escadron de la mort kinachoua wapinzani
    wake popote walipo duniani. Siri ya mkakati wa
    Nyerere wa Himaya ya Watusi ilionekana tangu
    alipotaka kuchelewesha uhuru wa Tanganyika, eti
    mpaka majirani wapate wao ili mkakati
    ufanikiwe, uhuni ambao ulishindwa kuuhadaa
    ushujaa kama wa Jomo Kenyatta. Mzee Jomo
    Kenyatta alipogundua jinsi Nyerere
    anavyochezea uhuru wa wana wa Tanganyika,
    hatimaye akaunajisi kwa ‘Muungano’ kwa ajili ya
    maslahi ya Wamarekani katika vita baridi, alilaani
    kwamba “Hakika Nyerere anatawala maiti” Ndiyo
    maana ni Watanganyika peke yao duniani
    wasiojali uhuru wao, wala hatima yao na vizazi
    vyao vijavyo, wala maslahi ya Nchi yao! Hii ni
    baada ya kupigika vizuri vichwani mwao ili wawe
    kama makondoo ya mtawala, waweze kuvikwa
    kwa ulaini kongwa la utumwa kwa Watusi, kwa
    maslahi ya kifisadi ya watumwa walio
    madarakani, wanaouza utu wao na hatima ya
    Nchi yao kwa utamu wa tende na halua,
    zinazomung’unyika mara moja na kupotea! Saa
    ya ukombozi ni sasa! Ndivyo utaahira wetu
    unavyoonekana kwa dunia yote ya wenye akili
    kuhusu kongwa la utumwa la Watanganyika
    liitwalo “Muungano”, lenye maslahi ya kifisadi ya
    watwana wachache sana wanaotawala, kama si
    mmoja tu, lakini kwa gharama ya Uhuru wa
    Watanganyika, heshima yao na utambulisho wao
    kama Taifa takatifu la heshima tangu katika
    Unabii wa Mwenyezi Mungu, tena kwa gharama
    ya raslimali za Watanganyika na matrilioni ya
    fedha ya damu yao! Utaahira wetu sisi
    Watanganyika unaonekana zaidi baada ya
    Zanzibar kujitoa rasmi katika huo ‘muungano’
    kikatiba, ambapo kwa ajili ya maslahi ya kifisadi
    watawala wetu wanafumbia macho ukweli
    kwamba muungano umebatilika! Na kwa ujinga
    kama wa kuku anapodhani haonekani kwavile
    amefunika macho yake kwa bawa lake, hawa nao
    wamekazana kuudanganya ulimwengu kwamba
    muungano bado upo, na hata kulazimisha raia
    waukiri kiwendawazimu usanii huo! Lakini ukweli
    ni kwamba baada ya Zanzibar kujitoa rasmi yaani
    kikatiba katika muungano, Wazanzibari ni
    wachache sana mafisadi na wasaliti waliohongwa
    madaraka watetee bila haya usanii wa muungano
    batili, kwa maslahi yao ya kibinafsi, huku
    wakisingizia maslahi ya ukupe wa Taifa lao
    (parasitic advantages) katika damu ya
    Watanganyika.. Kama chatu anavyomvunjavunja
    mnyama ili awe rahisi kumezeka, ndivyo Nyerere
    alivyowahasi kifikra Watanganyika na kuwafisha
    ari ya ukombozi wao na utaifa wao, mpaka kwa
    kafara yamwenge, ili wawe rahisi kuvishwa
    kongwa la utumwa la Watusi. Upofushaji wa jinsi
    hii huua kabisa uzalendo ndani ya dhamiri ya
    kila raia katika nchi, na kuwaacha wananchi
    katika minyororo ya woga tu akilini mwao,
    badala ya uhanga kwa ajili ya Taifa lao.
    KAGAME NA MUSEVENI - HATARI SANA KWA
    TAIFA LETU!
    Uharamia anaoufanya Kagame kule Mashariki ya
    Congo hapa kwetu alifanikiwa siku nyingi. Tofauti
    ya DRC Mashariki na mikoa yetu ya Kagera na
    Kigoma ni kwamba wenzetu wanayo hata majeshi
    ya mgambo ya uzalendo wao yanayotetea ardhi
    yao na uhuru wao, kama vile Mai Mai. Lakini sisi
    tuliuawa kabisa uhanga wetu kwa ajili ya Nchi
    yetu. Tumebaki kuwasujudia wageni wanaoteka
    na kuipora nchi yetu, na kututia utumwani katika
    nchi yetu wenyewe. Hii ndiyo raha ambayo
    Nyerere aliwaandalia Kagame na Mseveni kwa
    Watanganyika. Kagame tayari ameingiza katika
    Nchi yetu Wanyarwandazaidi ya 35,000 wenye
    silaha, wengi wakiwa katika mapori ya Hifadhi ya
    Taifa ya Buligi na maelfu ya ng’ombe
    waliowaingiza kutoka kwao Rwanda na Uganda.
    Kwani kule kwao wamejiwekea sheria kali ya
    kuokoa mazingira yao, kwamba ni marufuku mtu
    kumiliki zaidi ya ng’ombe tano (5). Kwahiyo
    mamia ya maelfu ya ng’ombe zao wameziingiza
    katika ardhi yetu kwa njia za porini, na wapo
    Wanyarwanda wenye ng’ombe mpaka 10,000
    mtu mmoja ndani ya Nchi yetu. Maelfu mengi ya
    ng’ombe hao wa Wanyarwanda wanajulikana
    kuwa mali ya dikteta Paul Kagame mwenyewe na
    mawaziri wake, na wengine ni mali ya dikteta
    Yoweri Mseveni, wengi wakiwa hata na mihuri ya
    NRA! Mbali ya Hifadhi ya Taifa ya Buligi, maelfu
    mengi ya ng’ombe wao wamewaswagia katika
    mapori yetu ya Kasindaga, Katete, Kinesi
    (Karagwe), Nyakerera, Kyobuheke na Misambya
    na kwingineko, ambako Wanyarwanda
    wamejikatia mabuloku makubwa sana (Blocks)
    ambayo wazawa hawaruhusiwi kukanyaga, na
    wakithubutu ni kuuawa. Kitendo cha Kagame na
    Museveni cha kuifanya Nchi yetu kwamba haina
    Utaifa na heshima ya mipaka yake (sovereignty
    and territorial integrity) kama zilivyo nchi zao, ni
    Tangazo la Vita! Ni lazima tujibu mapigo kwa
    nguvu kuliko tulivyomjibu dikteta Idd Amin
    Dadah. Majeshi yetu yaanze mazoezi makali ya
    vita, na raia waanze upya mafunzo ya mgambo
    kwa ajili ya Nchi yetu. Kama lilivyoanza tatizo la
    uvamizi wa Kagame DRC Mashariki, maelfu ya
    Wanyarwanda tayari wamekamata ardhi yetu
    kubwa sana, kwa kutumia vibali bandia vya
    kuishi nchini, na makaratasi ya uraia bandia wa
    Nchi yetu. Jasusi la Kagame liitwalo Athanas
    Kafurama mara nyingi hudhalilisha wazawa wa
    nchi yetu kwamba hawana kitu vichwani, na
    kwamba Tanzania inamjali mtu mwenye pesa
    yaani kama wao, na siyo raia wake walalahoi!
    Kagame amefanikiwa kwa sehemu kubwa kuiteka
    kimya kimya mikoa yetu ya Kagera na Kigoma!
    Hata Mkuu wa Mkoa wa Kagera Col. Fabian
    Masawe unamwuma moyo, jinsi Kagame na
    Mseveni walivyopenyeza askari zaidi ya 35,000,
    waliojichimbia na maelfu ya ng’ombe, hasa
    katika Hifadhi ya Taifa ya Buligi. Wanyarwanda
    wamekamata ardhi yetu kubwa sana, bila kuwa
    hata na vibali vya kuwepo nchini mwetu. Kabla
    ya kueleza zaidi juu ya uvamizi wa Buligi mkoani
    Kagera, tunapenda ifahamike kwamba Mkoa wa
    Kigoma umeingiliwa na Wanyarwanda na
    Warundi zaidi ya 100,000, ambao tayari
    wameteka sehemu kubwa ya ardhi ya Taifa letu,
    katika upanuzi wa Himaya yao. Tena
    wanajipenyeza kupitia katika makanisa maalum
    yanayoeleweka. Tayari wameanza kufanikiwa
    kukamata utawala wa Nchi yetu, kama vile
    Mnyarwanda aitwaye Peter Serugamba alivyoteka
    Jimbo la Kigoma Mjini, au Diwani John wa Kata
    ya Gungu. Watusi wamegundulika kuwamwagia
    rushwa viongozi wa vijiji na vitongoji ambao
    wanawatumia kuiteka ardhi yetu, na nafasi hizo
    wamepanga kuzichukua wao katika kuijenga
    Himaya yao. Vikao vya Watusi vya mikakati yao
    ya kuitwaa Nchi yetu katika Himaya yao mjini
    Kigoma hufanyikia katika hoteli ya Coast View,
    iliyojengwa kwa mtaji uliotoka Rwanda, ambao ni
    utajiri ulioporwa Congo.Watusi hawafichi katika
    majigambo yao, kwamba wanaweza wasilazimike
    kutumia nguvu za kijeshi kuitwaa ardhi ya
    Tanzania, kwa sababu eti wanaweza kutumia
    rushwa tu na akili kuichukua yote bila shida!
    Wanaujua udhaifu wetu kwa sababu
    walijipenyeza katika ngazi zote za utawala wa
    Nchi yetu, katika majeshi yetu, Uhamiaji, Taasisi
    zetu za fedha, Usalama wa Taifa n.k. Ndiyo
    maana Nchi yetu takatifu imetumika katika
    unyama wa kutisha kwa maslahi ya Watusi. Ni
    kweli pia kwamba nchi yetu inao watawala
    wanaoweza kununuliwa kirahisi kwa mapesa ya
    Wanyarwanda, ng’ombe zao na au mabinti wa
    Kitusi. Ndiyo maana wanampigia debe na
    kumwinamia mwuaji wa kutisha Paul Kagame,
    wakati wanajua kabisa kwamba:
    1. Kagame amemwaga kinyama sana damu ya
    mamilioni ya Wahutu, ambao bado anaendelea
    kuwaua usiku na mchana, kuliko Adolf Hitler
    alivyowaua Wayahudi.
    2. Kagame anaendesha mauaji dunia nzima, kwa
    kutumia kikosi chake maalum cha Escadron de la
    mort, ambacho ndicho alichotumia hata
    kumwangamiza Bingwa wetu wa Sheria, Hayati
    Profesa Jwani Mwaikusa, kwa kosa la kuweka
    wazi katika ICTR kwamba mtuhumiwa mkuu wa
    genocide katika Maziwa Makuu ni dikteta Paul
    Kagame. Kagame alihofia kwamba kutokana na
    majumuisho ya mwisho ya Mwanasheria huyo,
    lazima Ulimwengu ungelazimisha kukamatwa
    kwake na kufikishwa mbele ya Sheria.
    3. Kagame akiwa na cheo cha Meja alikuwa
    mstari wa mbele kumwua Rais Thomas Sankara
    wa Burkina Faso, kule Uagadougou.
    4. Kagame alikuwa Burundi kwa ushirikiano wake
    muhimu na Jean Bikomagu, katika mauaji ya
    kikatili sana ya marehemu Rais Melchior
    Ndadaye.
    5. Kagame ndiye aliyehusika kikamilifu na
    utunguaji wa ndege iliyomchukua Rais Juvenal
    Habyarimana wa Rwanda pamoja na Rais Cyprien
    Ntaryamira wa Burundi.
    6. Kagame analaaniwa na dunia nzima kwa
    kumfanyia unyama wa kutisha mwanasiasa
    mwanamke, shujaa Victoire Ingabire, ambaye
    amemtupa gerezani kwa kosa la kugombea Urais
    wa Rwanda akiwa Mhutu, na kosa la kuwa na
    kibali kwa wananchi wa Rwanda kuliko yeye
    aliyeloa damu ya mamilioni ya binadamu
    aliowaua kinyama.
    7. Kagame amemwaga majasusi zaidi ya 1,000
    katika Nchi yetu, wanaotumia ufisadi wa mapesa,
    ngono n.k katika kutengeneza mazingira ya
    kutekwa utawala wa nchi yetu na Watusi na
    hatimaye nchi yetu kuwa mkoa wa Himaya yao.
    Kama ilivyoelezwa juu, maelfu yao wamefanikiwa
    kujipenyeza katika taasisi zote nyeti za dola ya
    Nchi yetu. Walipoishika Uhamiaji waliitumia
    kujipa uraia na kukamata nafasi nyeti na ardhi
    yetu pia.
    8. Maelfu ya majasusi wa Kagame wanajifanya
    wanashughulikia mizigo ya Rwanda na Uganda,
    wengine wanajifanya wafanyabiashara au
    wanatafuta kuwekeza, wengine wanajifanya
    wanafunzi. Lakini ukweli ni kwamba Taifa letu
    liko uchi kwa Kagame, kwa sababu kila
    tunachokifanya katika Nchi yetu kinaripotiwa
    Rwanda masaa 24. Katika Jiji la Dar es Salaam,
    Mikocheni ndiko walikojaa Wanyarwanda hao
    kama kwao.
    ANGALIZO: Jumuiya ya Afrika Mashariki ilivunjika
    mwaka 1977 kwa sababu moja tu kwamba
    ilishindikana viongozi wa nchi tatu wananchama
    yaani Tanzania, Kenya na Uganda kukutana
    pamoja, kwa ajili ya kupitisha maamuzi yote
    muhimu ya uendeshaji wa shughuli zote za
    Jumuiya.
    Kwa sababu Rais Julius Nyerere alikataa kukaa
    meza moja na Rais Idd Amin Dadah wa Uganda,
    kwa sababu Amin alikuwa mwuaji. “Siwezi
    kuchangia meza moja na mwuaji aliyeloa damu”
    alitamka Rais Nyerere, ulimwengu wote
    ukamuunga mkono hata mgomo wake
    uliposababisha kuvunjika kwa Jumuiya ya Afrika
    Mashariki! SWALI: Ikiwa Nyerere alikataa kukaa
    meza moja na dikteta Idd Amin kwavile aliua
    binadamu takriban 350,000, Jumuiya ya Afrika
    Mashariki ikavunjika kwa sababu ya kuthamini
    uhai wa binadamu kuliko vitu vingine vyote,
    hawa watawala wetu wa leo wa CCM ni
    binadamu wa jinsi gani, ikiwa wanaweza
    kulikumbatia na kulipigia debe na hata magoti
    liuaji la kutisha kama Paul Kagame, lililoua
    kinyama binadamu zaidi ya 6,000,000 Rwanda,
    Burundi, Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo,
    Tanzania, Kenya, na kuwapelekea wengine kifo
    kule kule Ulaya walikokuwa wamekimbizia uhai
    wao? Watu wa hatari kuliko wote kuhusu amani
    katika Maziwa Makuu ni hawa madikteta, Paul
    Kagame na Yoweri Museveni, walioangamiza
    mamilioni ya raia wa Maziwa Makuu, wakavamia
    Jamhuri dada za Rwanda na Zaire (DRC) na
    kuangusha tawala za mataifa hayo huru, na
    kuipora Congo mpaka dunia nzima inawapigia
    mayowe kama majambazi ya hatari! Watawala
    wetu wanakuwa katika akili za namna gani
    wanapokwenda Kampala na Kigali, na kukaa na
    Kagame na Museveni na kuzungumzia eti amani
    katika eneo la Maziwa Makuu, wakati hao ndio
    wavunjaji makatili wa hiyo amani? Hivi ni kweli
    akina Kikwete hawana hofu kwa Mwenyezi
    Mungu, kiasi cha kuamua kumsaliti jirani mwema
    aliyevamiwa na kuangamiziwa mamilioni ya raia
    wake kwa kosa tu la kuwa Wahutu, na
    kuwasaidia maharamia waliomvamia? Ni aibu
    kubwa zaidi kwamba watawala wetu waliishia
    kukubali umamluki, wa kuwasaidia Kagame na
    Museveni majeshi eti yakawasaidie kuangamizia
    Wahutu waliopokonywa nchi yao ya Rwanda, na
    mashujaa wanaopinga udikteta wa damu wa
    Yoweri Museveni nchini Uganda! Huku ndiko
    kuhimiza kisasi cha Mwenyezi Mungu juu ya nchi
    yetu!
    UHARAMIA ULIOFANYWA NA WANYARWANDA
    BULIGI
    Kwanza kabisa, Wanyarwanda hawatasahaulika
    walivyotikisa Mkoa wa Kagera walipoingia kule
    kwa uharamia wa kutumia silaha, wakajulikana
    kwa ufupisho kama Wanyaru. Wanyarwanda
    waliteka magari, walipora fedha na mali zingine
    za wananchi, na zaidi waliteka ng’ombe za
    wananchi na kuzikimbizia Uganda, ambako
    walizibadilisha na kuleta nchini wale ng’ombe wa
    kwao, ambao wako tofauti na wetu kimaumbile.
    Huu ni ujanja wa kawaida wa kijambazi.
    Uharamia wa Wanyarwanda ulishamiri mno
    mkoani Kagera, hapo Buligi pakawa kama makao
    yao makuu ya kutisha, ndiyo maana palipewa
    jina la Kosovo. Pori lote mpaka Kyamyorwa
    lilikuwa halipitiki kwa sababu ya hatari ya
    Wanyaru., ambao walikuja kutokomezwa na
    ulinzi wa jadi wa Wasukuma na ushirikiano wa
    dhati wa Kamanda mzalendo wa Polisi, Inspekta
    Samson ambaye hivi sasa yuko Wilayani Chato
    Mkoa wa Geita. Kutokana na umahiri wa
    Wasukuma katika kupambana na uharamia kwa
    ulinzi wao wa jadi au Sungusungu, Mheshimiwa
    Wilson Masilingi akiwa Waziri katika Ofisi ya Rais
    na Mbunge wa Muleba Kusini, alipopita mikoa ya
    Ukanda wa Ziwa aliwahamasisha Wasukuma
    kwamba wahamie maeneo ya Kyamyorwa na
    Kasindaga na kwingine mkoani Kagera, na
    kwamba wapewe na mashamba kwa sababu ni
    kweli kwamba Wasukuma kwa asili ni wazalishaji
    hodari. Wasukuma waliitika mwito huo na
    kuhamia huko, na ni kweli kwamba waligeuza
    eneo lile kuwa kitovu cha uzalishaji usio kawaida
    wa mazao ya mpunga, mahindi, dengu, mtama,
    ulezi, serena na mengine mengi, mbali ya ufugaji
    wao. Baadaye Wasukuma hao walihamishiwa
    Buligi kutoka hapo Kyamyorwa, kwa maombi ya
    Waziri wa sasa wa Ardhi na Maendeleo ya Makazi
    ambaye pia ni Mbunge wa Muleba Kusini,
    Profesa Anna Tibaijuka, kwa msingi kwamba eneo
    hilo ni la kampuni ya Itente ambayo yeye ni
    mhusika. Profesa Anna Tibaijuka aliandika hata
    katika kitabu chake cha kampeni yake ya Ubunge
    wa Muleba Kusini, kuwa Wasukuma wengi
    walikuwa wamepewa eneo la Kyamyorwa kwa
    makosa, kwavile eneo hilo lilikuwa la Kampuni
    hiyo. Waziri Anna Tibaijuka anakiri kwamba
    aliwaombea Wasukuma Serikalini wakapewa
    uhamisho kwenda Buligi, na kwamba yeye
    mwenyewe aliwasaidia hata usafiri wa kuhamia
    Buligi. Wazalishaji wa Kisukuma waliongezeka
    huko Buligi, baada ya ndugu zao waliokuwa
    wamewaacha nyuma kuvutiwa na ushuhuda
    mwema wa uzalishaji wa wenzao waliotangulia
    huko, baada ya mageuzi ya eneo lililokuwa
    ‘Kosovo’ kuwa paradiso ya amani na maendeleo.
    Ni kweli kwamba Wasukuma walipofika
    uhamishoni Buligi, kwa uhodari wao katika
    uzalishaji na umahiri wao katika ulinzi wao wa
    jadi, waliigeuza‘Kosovo’, ikawa kihenge cha
    chakula cha Mkoa wa Kagera, wakizalisha
    mpunga, mahindi, maharagwe, dengu, mtama,
    ngano, uwele, mihogo, migomba, viazi ulaya,
    vitunguu, nyanya, mboga na hata miti kwa ajili
    ya hifadhi ya mazingira, kwa kadri
    walivyoshauriwa kitaalamu. KWAHIYO ukweli
    hauwezi kukwepeka kwamba :
    1. Uchomaji wa nyumba zaidi ya 500 za wananchi
    wa kabila la Wasukuma katika maeneo ya Buligi
    na mengineyo kwa kisingizio cha ‘Operation Okoa
    Mazingira’ ulilenga kuwaangamiza Wasukuma
    pamoja na mazao yao tele waliyokuwa nayo
    majumbani mwao pamoja na mali zao zingine
    zote.
    2. Huko Buligi na maeneo mengine ambako
    Wasukuma wanazalisha kwa wingi mazao hayo
    yote, Wasukuma waliletwa na Serikali, si
    wavamizi.
    3. Wasukuma hawakuvamia mapori ya
    Wanyarwanda au ya mtu mwingine yeyote. Kwani
    Vijiji vyote wanavyoishi vinawatambua, hata kwa
    mchango wao mkubwa sana katika uzalishaji.
    4. Wasukuma hawajaingia katika Hifadhi ya Taifa,
    wala hawana ng’ombe hata mmoja katika
    Hifadhi, bali Wanyarwanda ndio wenye mamia ya
    maelfu ya ng’ombe katika Hifadhi, ambamo hata
    wanyamapori wetu Wanyarwanda
    wamewamaliza. Wanyarwanda huhonga
    mamilioni ya fedha na ng’ombe kwa maafisa wa
    wanyamapori na watumishi wengine wa umma.
    5. “Operation Okoa Mazingira” haikulenga
    wahamiaji haramu ambao ni Wanyarwanda, wala
    mamia ya maelfu ya ng’ombe zao kutoka Rwanda
    na Uganda hususan katika Hifadhi ya Taifa, kwa
    sabau Wanyarwanda hawakuguswa kabisa, bali
    walikuwa wakishangilia wanavyofanyiwa unyama
    Wasukuma, ambao wala hawana ng’ombe katika
    Hifadhi kunakoharibiwa mazingira!
    6. Nyumba za Wasukuma zilizoteketezwa
    hazikuwa katika Hifadhi, bali katika vijiji na
    vitongoji rasmi vyenye serikali halali za Vijiji na
    Vitongoji. Mfano ni nyumba 105 za Kishonga B
    Barabara ya 9, katika Kijiji cha Nyamilanda
    Kitongoji cha Nyakabingo, na Kijiji cha Itunzi
    Kitongoji cha Miziro. Wenyeviti wa Vijiji vya
    Nyamilanda na Itunzi ni mashahidi, na
    wanalalamikia unyama wa kuchomewa nyumba
    wananchi wao.
    7. Uteketezaji wa nyumba za Wasukuma
    uliambatana na unyang’anyi wa pesa zao,
    kuanzia shs 100,000/- hadi shs 4,000,000/- kwa
    Msukuma mmoja, na kuwapa stakabadhi feki
    zilizoandikwa “WAZABUNI WA MASOKO/ MIALO/
    VIVUKO. Eti ADHABU kwa ajili ya hatia
    zilizobuniwa zikiwa ni pamoja nauharibifu wa
    mazingira, kufyeka misitu ovyo, zingine
    ziliandikwa ‘Kusafirisha mifugo bila kibali’
    Tunaambatanisha vivuli vya stakabadhi feki
    zilizotumika (Nambari 135559, 135519, 135562,
    135356, 135520,135367). Tena walipora mapesa
    mengi sana kuliko waliyoandika katika
    stakabadhi, na walio wengi hawakepewa hizo
    karatasi! Huu ni unyang’anyi na ujambazi wa
    wazi kabisa! Tunawaachia kazi DCI na Takukuru.
    8. Maelfu ya wananchi waliofanyiwa unyama huu
    walilundikana makanisani, kwa ndugu zao na
    marafiki zao, na wengi walilazimika kuishi
    maporini, ambako wanawake wapatao watatu
    walijifungua kama wanyamapori.
    9. Mkuu wa Wilaya ya Muleba, Lemberis Kipuyo,
    ambaye alikuwa ameonwa na Mnyarwanda
    aitwaye Athanas Habamungu Kafurama, na
    kibaraka wa Wanyarwanda ambaye ni
    Mwenyekiti wa Kijiji cha Kisana aitwaye Julius
    Rwechungura, baada ya kuchangwa shilingi
    milioni 100 katika kikao cha Wanyarwanda katika
    kanisa lao la Butera tareke 31/10/2012,
    kulingana na majigambo ya Wanyarwanda na
    Kafurama mwenyewe, ndiye aliyeonekana
    kusimamia unyama huo, ingawa yeye ndiye
    mwangalizi wa amani na usalama katika Wilaya!
    10. Mkuu wa Wilaya Lemberis Kipuyo alipohojiwa
    na waandishi wa habari kuhusu unyama huu wa
    kutisha, alikiri kwamba wamechoma moto
    nyumba eti zilizokuwa katika Hifadhi, eti kwa ajili
    ya kulinda mazingira ya Mkoa wa Kagera na
    kuhamisha wahamiaji haramu wanaoingia na
    makundi makubwa ya ng’ombe katika Hifadhi.
    11. Kama alivyoeleza Lemberis Kipuyo, unyama
    huo wa kutisha uliosukwa na Wanyarwanda na
    kutekelezwa kwa usimamizi wake yeye
    mwenyewe Mkuu wa Wilaya, ulianza tarehe
    3/11/2012 saa 3 asubuhi katika eneo la Buligi.
    Na kama alivyosema hata yeye Mkuu wa Wilaya,
    maharamia waliowafanyia wananchi wa kabila la
    Wasukuma unyama huu ni: Askari wa Jeshi la
    Polisi Usalama wa Taifa Takukuru Wafanyakazi
    wa Idara ya Misitu Wafanyakazi wa Idara ya
    Uvuvi, ambao baadhi yao walitambulika. Askari
    wa Wanyamapori, ambao baadhi yao
    walitambulika. Askari wa Jeshi la Ulinzi,
    waliotambulika kwa sare zao. Maharamia
    waliovaa sare za Mgambo. Lemberis Kipuyo
    alisema walikuwemo pia Wanasheria katika
    unyama huu.
    12. Wananchi waathirika walipokusanyika Kituo
    cha Polisi Miziro, Mkuu wa Wilaya Lemberis
    Kipuyo alifika hapo. Lakini alipoombwa afike
    ajionee makazi ya wananchi wake
    yalivyoteketezwa, aliwapuuza isivyo kawaida hata
    kibinadamu, ingawa umbali haufiki hata
    kilometa!
    13. Kwa kuhofia makusanyiko ya vilio vya
    Wasukuma, jasusi Mnyarwanda Athanas
    Kafurama alikwenda kumchochea Mkuu wa
    Wilaya azidishe unyama kwa madai kwamba eti
    Wasukuma wamejiandaa kuvamia Kituo cha
    Polisi Miziro. Ndipo unyama ulipozidishwa
    maradufu kuwaangamiza Wasukuma, na
    kuwawinda wale wote wanaoogopwa kama
    waelewa, na wengi ikawabidi kukimbilia maporini
    na kuishi huko kama wanyamapori licha ya mvua
    nzito.
    WANYARWANDA WALIVYOIPINDUA OPRESHENI
    DHIDI YAO
    (Kwa kuwageuzia kibao hicho Wasukuma)
    Wanyarwanda walipoijua ‘Opresheni Okoa
    Mazingira’ kwamba imeandaliwa rasmi kwa ajili
    ya kuwatokomeza wahamiaji haramu yaani wao,
    na kwavile waliwashika mkononi viongozi wote
    kuanzia Mkuu wa Wilaya kama walivyokuwa
    wanajigamba, na kama walivyokuwa wanajihami
    kwa rushwa kwa uharamia wao wote
    wanaoifanyia Nchi yetu, ndivyo walivyojipanga
    kuwatoa kafara Wasukuma Serikali yetu ilikuwa
    na taarifa zote za mikakati ya dikteta Kagame na
    Museveni juu ya Nchi yetu, yaani uvamizi wenye
    lengo la kuiteka ardhi yetu kama vile
    wanavyofanya Congo Mashariki, uporaji wa
    raslimali zetu, na walivyohamishia mamia ya
    maelfu ya ng’ombe zao katika Hifadhi za Taifa
    letu na utekaji wa ardhi ya wananchi, na hata
    kulisha mifugo yao katika mazao ya wananchi,
    wakitetewa na vibaraka wao ambao ni viongozi
    wetu wala rushwa.
    Wamiliki halisi wa haya mamia ya maelfu ya
    ng’ombe ni marais na mawaziri wa Rwanda na
    Uganda, ambao wanayo mahusiano ya kifisadi na
    viongozi wetu mafisadi au Watusi kama wao.
    Ndiyo maana azma ya Serikali yetu ya ‘Opresheni
    Okoa Mazingira’ imekuwa ikipozwa kwa ufisadi
    kwa muda mrefu, huku maadui wakizidi
    kujichimbia na kuangamiza mazingira. Lakini kwa
    nguvu ya wale viongozi wetu waliobaki na
    uzalendo, Serikali yetu ilikazana na mpango
    kabambe wa OPERATION ‘OKOA MAZINGIRA’,
    kwa ajili ya kutokomeza kabisa uvamizi wa
    Watusi katika Nchi yetu (wahamiaji haramu), na
    kutowesha ng’ombe zote zilizoingizwa katika
    Nchi yetu, zenye kuhatarisha uhai wa vizazi
    vyetu vijavyo kwa kuharibu vibaya sana
    mazingira. Kilio cha wananchi juu ya uvamizi wa
    ardhi yetu na kuingizwa maelfu ya ng’ombe
    katika Nchi yetu kutoka Rwanda na Uganda
    kilianza mwaka 2009. Wanyarwandawalipopata
    taarifa juu ya ‘Opresheni Okoa Mazingira’ dhidi
    yao, walifanya mikutano kadhaa mizito katika
    kanisa lao la Butera, linaloongozwa na Mtusi wa
    hatari aitwaye Augens.
    Tawi la kanisa hilo liko Chanyamisa, Karagwe,
    ambako pia linatumika kwa mikakati hii ya
    Kagame. Opresheni Okoa Mazingira iliyokusudiwa
    kutokomeza wavamizi wa Nchi yetu na maelfu ya
    mang’ombe yao yanayoharibu mazingira ya Nchi
    yetu, iligeuzwa na walengwa, Wanyarwanda,
    kuwa unyama wa kutisha wa kutowesha katika
    eneo hilo wananchi wa kabila la Wasukuma, na
    kuwapora mali na ardhi wanayozalishia mavuno
    yaliyotia fora katika mkoa wa Kagera. Katika
    kuwatwika Wasukuma dhoruba ya ‘Operation
    Okoa Mazingira’ ambayo iliwalenga wao,
    Wanyarwanda walianza kwa kuwachonganisha
    kirahisi kabisa Wasukuma na ndugu zao Wahaya;
    Kwavile Mhaya mwenye kulima ekari nne au tano
    ndiye aliyeonekana kuwa mkulima stadi, lakini
    Wasukuma wakawa wanalima ekari mpaka 50
    mkulima mmoja, Wanyarwanda walitumia kwa
    ufundi wao kigezo hicho kupandikiza mbegu ya
    kijicho miongoni mwa Wahaya, ambao
    wamekuwa wepesi kukabidhi kwa Wanyarwanda
    ardhi yetu. Hatimaye baadhi ya Wahaya walianza
    kuwanyoshea kidole Wasukuma kwamba eti
    wanakamata ardhi kubwa kuliko wao, ingawa
    mapori hayo yalikuwa yanakaa bure tangu
    uumbaji mpaka Wasukuma walipoyavamia kwa
    uzalishaji wa nguvu, hata wakawa wakivuna
    magunia ya mpunga mpaka 700 mkulima
    mmoja.Kwa hila za Wanyarwanda, Wahaya wa
    Muleba na sehemu zingine zilizofanyiwa kazi ya
    ufitini na Watusi, walianza kujikusanya vikundi
    vikundi kuandika barua za kuomba ardhi hiyo
    wanayozalishia Wasukuma, ili mashamba ya
    Wasukuma yamegwe na kupewa wao, kusudi
    Wanyarwanda wajipatie kutoka mikononi mwa
    Wahaya, ambao Watusi wanawachukulia kuwa
    wepesi zaidi wa kuwapasia wao. Kwa kuwatumia
    vibaraka wao kama Julius Rwechungura ambaye
    ni Mwenyekiti wa Kijiji cha Kisana, Wanyarwanda
    siyo tu wameteka mamia ya ekari za ardhi yetu,
    bali wamekuwa wanapiga vita siku zote ya
    kuwafukuza Wasukuma ili wakamate wao
    maeneo yote. Uharamia huu ndio uliopelekea
    Mkurugenzi wa Wilaya kumwamuru Afisa
    Mtendaji Kata ya Kyebitembe kuitisha mkutano
    wa tarehe 27/3/2012 kuhusu malalamiko ya
    Wasukuma dhidi ya Wanyarwanda. Mkutano huo
    ulipiga marufuku kumega ardhi yoyote
    inayotumiwa na wananchi wa kabila la
    Wasukuma, kwa ajili ya mapinduzi ya uzalishaji
    waliyofanikisha katika mkoa, walioingia katika
    maeneo hayo tangu mwaka 2007 hadi 2011.
    Mkutano uliamuru pia kufutwa mashitaka ya
    kihaini yaliyofunguliwa na kibaraka wa
    Wanyarwanda Julius Rwechungura, akitaka
    Wasukuma wanyang’anywe mashamba yao ili
    wapewe Wanyarwanda. Kisha Wanyarwanda
    walifanya kikao muhimu tarehe 31/10/2012
    katika kanisa hilo la Butera, chini ya uongozi wa
    Jasusi la Kagame liitwalo Innocent Mchunku
    Kapilipili. Agenda kuu ilikuwa kuchangisha
    shilingi milioni mia moja kwa ajili ya kujihami
    nahiyoOpreshenidhidi yao, kwa kuwanunua
    viongozi wote wa hiyo opresheni. Taarifa za
    uchunguzi wetu ni kwamba kweli mapesa hayo
    yalichangwa na kuwasilishwa kwa Mkuu wa
    Wilaya Lemberis Kipuyo na timu yake
    iliyoendesha unyama wa kutisha dhidi ya
    Wasukuma, badala ya wahamiaji haramu.
    Uchunguzi umethibitisha kuwa Mnyarwanda
    Innocent Mchunku Kapilipilialikuwa jambazi,
    katika lile genge la hatari la maharamia kutoka
    Rwanda waliojulikana kama “Wanyaru” chini ya
    kamanda wao aliyeitwa ‘Kamanda Dogo’. Mnyaru
    huyu ameteka zaidi ya ekari 400 za ardhi yetu
    katika Kijiji cha Nyamilanda, Kitongoji cha
    Nyakabingo, na Kijiji cha Kisana Kitongoji cha
    Butera. Mtusi huyu anamiliki zaidi ya ng’ombe
    500. Mnyarwanda mwingine muhimu katika kikao
    cha kanisani Butera ni Francis Magege, ambaye
    amekamata ekari zaidi ya 400 katika Kijiji cha
    Nyamilanda, Kitongoji cha Nyakabingo. Kikao
    hicho kilishirikisha pia Afisa Mtendaji wa Kijiji
    cha Kisana, msaliti aitwayeJohanson Shumuni,
    Mwenyekiti wa Kijiji cha Kisana, msaliti aitwaye
    Julius Rwechungura, na Mwenyekiti wa Kitongoji
    cha NyamtunduAbdon Krophas. Msaliti Johanson
    Shumuni ametoka katika kifungo cha nje cha
    mwaka mmoja, kwa kosa la kung’oa mazao ya
    mwananchi wa Kijiji cha Nyamilanda, kusudi
    Wanyarwanda wapitishe ng’ombe zao. Kibaraka
    huyu wa Wanyarwanda alilipishwa pia fidia ya
    shilingi 70,000/- kwa ajili ya mazao ya wananchi.
    Wasaliti Johanson Shumuni, Julius Rwechungura
    na Abdon Krophas kwa pamoja wana kashfa ya
    kukitapeli Kikotongoji cha Butera msitu wa asili
    wa mitundu, wakivunga kwamba ni ‘Hifadhi ya
    Kijiji’ lakini wakawa wanapasua wao mbao na
    kuzitoroshea nje ya nchi, mpaka moja ya malori
    ya mbao hizo lilipokamatwa mwaloni Katunguru
    na kifikishwa Polisi Muleba, mwezi Mei 2010.
    Lakini watuhumiwa hawajawahi kufikishwa
    mahakamani mpaka leo, Vibaraka hawa wa
    Wanyarwanda ndio wahusika wakuu katika
    kuwauzia ardhi yetu wahamiaji haramu. Mhusika
    mwingine katika uuzaji wa ardhi kwa
    Wanyarwanda ni Diwani wa Kata ya Karambi,
    Ngote, aitwaye Hamudi Abdalla, ambaye hivi
    sasa anamiliki zaidi ya ng’ombe mia mbili (200)
    kutokana na rushwa ya Wanyarwanda.
    Mwenyekiti wa Kijiji cha Kisana, msaliti Julius
    Rwechungura alidiriki hata kuwafungulia
    mashitaka mahakamani wananchi wa kabila la
    Wasukuma, kwamba eti wamevamia ardhi ya
    machungio ya Wanyarwanda! Kisha aliwawekea
    dhamana yeye mwenyewe na kuwatoza shilingi
    10,000/- kila mmoja. Lakini kibaraka huyo
    alilazimishwa na kikao cha tarehe 27/3/2012
    kilichoamriwa na Mkurugenzi wa Wilaya kufuta
    kesi hiyo, kwa sababu haiwezi kuwepo ardhi ya
    Wanyarwanda ndani ya mipaka ya Jamhuri ya
    Tanzania!
    USHAHIDI WA UKATILI WA WANYARWANDA
    KWA RAIA WETU
    Kwanza kabisa turejee mapokeo ya ile imani
    chafu sana ya Watusi, kwamba wao wana utu wa
    hali ya juu zaidi (superior race) kuliko Wabantu.
    Unyama wa Wanyarwanda ni pamoja na
    kuwateka nyara raia wetu, na kuwatumia kama
    watumwa wa kuswaga mifugo yetu
    waliyotupora.Mateka hawa huvuliwa nguo na
    kuvikwa vipande vya matambara vya kitumwa, na
    kubadilishwa majina. Mfano ni vijana wetu
    Opecatus Filipowa Nsheshe, Kijiji cha
    Nyamilanda, Kata ya Kyebitembe ambaye
    aligeuzwa jina na kuitwa Peter, na Antelius wa
    Kabanga Kijiji cha Kasharara, Kata ya Karambi,
    aliyegeuzwa jina na kuitwa Rutashambya.
    Wanyarwanda waliishi porini na hawa ‘watumwa’
    kwa miaka miwili. Mmoja wao hatimaye
    alifanikiwa kuwatoroka, akatoa taarifa Kituo cha
    Polisi Kyebitembe, ambapo Mkuu wa Kituo hicho
    shujaa Inspekta Samson alifuatilia kwa uhodari
    mpaka akafanikiwa kumwokoa yule kijana wetu
    wa pili. Wale watekaji walikimbia msako huo
    baada ya kutonywa na msaliti Afisa Mtendaji wa
    Rwabera, Karagwe, mwanamke aitwaye Alfredina.
    Raia wetu hao waliokombolewa wana ushuhuda
    wa kutisha wa unyama uliokuwa ukifanywa na
    Wanyarwanda. Wanaeleza njia za porini
    walizokuwa wakipitishia mifugo yetu,
    mawasiliano ya Wanyarwanda kwa redio na simu
    dhidi ya mipango yote ya serikali yetu ya
    kuwafuatilia na mifugo yetu waliyopora. Vijana
    wanaeleza jinsi walivyotumika kuficha hayo
    makundi ya ng’ombe zetu, na jinsi walivyoishi
    kama wanyamapori katika mvua kali na jua na
    mateso mengi yasiyosemeka. Vijana hawa
    wanashuhudia jinsi Wanyarwanda
    walivyomchoma raia wetu kwa upanga wa moto
    mwilini, kwa kuthubutu kudai ujira wa kutumiwa
    kikatili kutorosha ng’ombe waliopora katika nchi
    yetu mpaka huko maporini. Vijana wanashuhudia
    jinsi wenzao walivyouawa na Wanyarwanda kama
    wanyama. Zaidi ya yote, anaalaniwa vikali msaliti
    Johanson Shumuni ambaye ni Afisa Mtendaji wa
    Kijiji cha Kisana, kwa kumfichia siri mwuaji katili
    wa Kinyarwanda,‘Mchungaji’ Augens mwenye hilo
    kanisa la Butera, alipomwua kinyama mfanyakazi
    wake aliyekuwa anasimamia boti yake iliyokuwa
    ikifanya kazi za magendo katika Ziwa Buligi,
    baada ya kumtuhumu kwa wizi wa injini ya hilo
    boti lake. Shahidi mmojawapo wa mauaji haya ni
    Benedicto Damian ambaye ni Mwenyekiti wa
    Kitongoji hicho cha Butera. ‘Mchungaji’ hatari
    Augens pia anashughulika na uvuvi haramu wa
    kutumia makokoro, unaoangamiza mpaka mbegu
    ya samaki kwa ajili ya vizazi vyetu vijavyo, Mtusi
    mwingine aliyeua kinyama raia wetu ni
    Mchungaji wa kanisa la Mnyarwanda Francis
    Magege. Huyu alimwua aliyekuwa mchungaji wa
    ng’ombe zake, baada ya siku tatu akaenda kutoa
    taarifa ya uongo Polisi kwamba marehemu
    ameuawa na nyoka. Baada ya kugundulika mwili
    wa huyo marehemu machakani na kuchunguzwa
    na Dr. Mtumbi, iliripotiwa kwamba aliuawa
    kikatili sana kwa kitu kizito chenye ncha kali.
    NdipoMnyarwanda huyo ‘Mchungaji’ aligeuza
    kibao na kusema marehemu ameuawa na
    Msukuma eti aliyekuwa amegombana naye kwa
    sababu ya kulisha ng’ombe mazao yake. Lakini
    uchunguzi unaonyesha kuwa marehemu aliuawa
    baada ya kudaiana na huyo mwajiri wake
    ‘Mchungaji’. Mashahidi muhimu ni pamoja na
    huyo Daktari aliyefanya uchunguzi, Mwenyekiti
    wa Kitongoji cha Butera, na kijana aliyekuwa
    anachunga pamoja na marehemu, ambaye
    alikimbilia Ngara. KWAHIYOkwa ajili ya usalama
    wa Nchi yetu, na heshima na Uhuru wa kweli wa
    Taifa letu, na sifa ya Taifa letu ya kupigania HAKI
    na utu wa mwanadamu, tunasisitiza kwamba:
    1. Watu wote waliohusika na unyama wa kutisha
    dhidi ya wananchi wa kabila la Wasukuma
    Mkoani Kagera, pamoja na Wanyarwanda wote
    waliohusika na unyama huu wakamatwe na
    kufikishwa mbele ya sheria. Watuhumiwa ni
    pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Muleba, Lemberis
    Kipuyo .
    2. Wananchi wote waliofanyiwa ukatili huu
    walipwe fidia ya mateso yote na hasara zote
    walizosababishiwa na unyama huu.
    3. Mamia ya maelfu ya ng’ombe zilizoingizwa
    nchini mwetu kutoka Uganda na Rwanda
    zikamatwe na kupigwa mnada, ili fedha hiyo
    itumike kuboresha Hifadhi zetu na mazingira ya
    Nchi yetu.
    KUHUSU GENOCIDE MAZIWA MAKUU
    4. Taifa letu lisimame kinyume kabisa na
    uharamia wa kuvamia Nchi yoyote huru duniani,
    ikiwa ni pamoja na uvamizi wa Jamhuri ya
    Rwanda na uvamizi na uporaji wa Jamhuri ya
    Kidemokrasi ya Congo, uliofanywa na Watusi wa
    RPF na Uganda.
    5. Taifa letu lilaani imani chafu ya Watusi
    (apartheid nyeusi) kwamba wenzao eti
    waliumbwa kuwa watumwa wao, hivyo kudai
    usawa wa kibinadamu eti ni uasi wa
    kuangamizwa kama wanavyofanywa Wahutu.
    6. Taifa letu liusaidie ulimwengu kujua ukweli
    kwamba Watusi ndio walioendesha genocide ya
    kutisha duniani, kwa kuangamiza Wahutu zaidi ya
    6,000,000, zaidi ni mauaji yaliyofanywa na
    dikteta Paul Kagame wa Rwanda, ambaye ndiye
    mtuhumiwa Mkuu wa genocide ya Maziwa
    Makuu.
    7. Taifa letu lihakikishe pia kwamba mwuaji Paul
    Kagame na wenzake wote wanafikishwa mbele ya
    Sheria kujibumashitaka ya genocide.
    8. Taifa letu lifanye TOBA kwa mwenyezi Mungu
    kwa kudhamini unyama wote uliofanywa na
    Watusi, ukiwa ni pamoja na mauaji ya marais
    watatu wa Kihutu wa mataifa ya Rwanda na
    Burundi, marehemu Rais Melchior Ndadaye,
    marehemu Rais Juvenal Habyarimana na
    marehemu Rais Cyprien Ntaryamira.
    9. Taifa letu lifanye TOBA kwa kuikaribisha ICTR
    Arusha, na kuifukuza katika Nchi yetu mara
    moja, kwa sababu siyo siri kwamba ICTR ni
    nyenzo ya kusaidia genocide ya dikteta Paul
    Kagame ya kuwamaliza Wahutu.
    10. Taifa letu lipige vita ukatili wa kuendelea
    kuwashikilia kifungoni Wahutu waliotamkwa na
    hiyo ICTR kwamba hawana hatia, na kuwatetea
    kwamba walipwe fidia kwa unyama wote
    waliotendewa na Kagame pamoja na ICTR na/au
    UNO.
    11. Taifa letu lihakikishe kuwa Rwanda, Burundi
    na Uganda zinafutwa uanachama katika Jumuiya
    ya Afrika Mashariki (EAC). Kwa sababu sharti kuu
    la uanachama ni Haki za Binadamu, Demokrasia
    na Utawala wa Sheria, lakini hizi ni tawala za
    Udikteta wa kikatili na Umwagaji damu.
    12. Taifa letu lihakikishe kwamba Dikteta Paul
    Kagame anamwachia huru mara moja
    mwanamke mpinzani wake, shujaa Victoire
    Ingabire, ili akakataliwe na wananchi wenyewe
    wa Rwanda au wampe uongozi kama wanaona
    atawafaa. Kutoona haya mbele ya dunia kwa
    unyama huu, kunadhihirisha Kagame kuwa si
    binadamu wa kawaida!
    Liberty International Foundation
    Reverend Christopher Mtikila
    (0766 053081, 0713 435016 )
    EXECUTIVE CHAIRMAN







No comments:

Post a Comment