Katibu tawala wa wilaya ya
Handeni, John Ticky Alisema hayo juzi alipotembelea mashamba darasa ya wakulima
wa vijiji vya Magamba na Kwabaya katika kuadhimisha siku ya mkulima kiwilaya
ambapo wilaya imejipangia utaratibu wa kuwa na siku ya wakulima kiwilaya.
No comments:
Post a Comment