Timu ya taifa ya marekani imevunja
rekodi katika michuano ya kombe la dunia inayoendelea kutimua vumbi nchini
Brazil kwa kufunga goli la mapema zaidi tangu michuano hii ya kombe la dunia
2014, goli lilifungwa sekunde ya 32 na mshambuliaji
Clint Dempsey ambaye anakipiga katika katika ligi kuu ya Uingereza.
Mchezo
huo uliopigwa katika uwanja wa Arena das Dunas ikiwa ni mwendelezo wa michuano
hiyo inayoendelea nchini Blazil ambapo katika mechi ya awali ya kundi G ,kundi
lenye timu za Ujerumani,Ureno,Ghana na Marekani timu ya ujerumani ilibamiza
timu ya Ureno kipigo cha mbwa mwizi kwa kuipa kipigo cha jumla ya mabao 4 kwa
o
hiki hapa kikosi cha Ghana na USA na mfumo walioanza nao
referee :
|
||
Jonas Eriksson
(Sweden)
|
||
line-ups :
|
|||
[ 4-2-3-1 ]
|
[ 4-1-2-1-2 ]
|
||
Adam Larsen Kwarasey
|
Tim Howard
|
||
Kwadwo Asamoah
|
Matt Besler
|
||
Daniel Opare
|
Fabian Johnson
|
||
John Boye
|
Geoff Cameron
|
||
Jonathan Mensah
|
DaMarcus Beasley
|
||
Sulley Ali Muntari
|
Michael Bradley
|
||
Andre Ayew
|
Alejandro Bedoya
|
||
Jordan Ayew
|
Kyle Beckerman
|
||
Christian Atsu
|
Jermaine Jones
|
||
Mohammed Rabiu
|
Clint Dempsey
|
||
Asamoah Gyan
|
Jozy Altidore
|
||
coach :
|
|||
Kwesi Appiah
|
Jurgen Klinsmann
|
No comments:
Post a Comment